Hi kaka/sis,
Natumai wewe ni mmoja wa vibaraka wa mkapa kama si jamaa basi ndugu la familia yako alifaidika na neema za mkapa. Jengo Pacha nalo utasema balali?
masikini watanzania wamelisahau hilo jengo pacha mpaka slaa awabebee bango tena likiwa ni mara mbili ya wizi wa epa. unalinganisha...
WABONGO tunapeleka hella india kununua bajaji wakati tunao maprofesa wa uhandisi waliobobea. naamini ikitoka project ya kuunda kitu mithili ya bajaji itafanikiwa tu na inawezekana. kazi ilopo ni kuwapatia maprofesa wetu elimu nyingine ya kuamini kila kitu kinawezekana na mbongo pia anamudu.
Enyi watu wangu watanzania mbona mnaangamia kwa kukosa maarifa, je ni nani aliewaloga? Ni nani aliewaambia ya kwamba baraza`la mawaziri litaleta mabadiliko!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.