Zippyshare.com - The Web Application Hacker's Handbook - Discovering and Exploiting Security Flaws.pdf nendeni humo nimeupload book moja nzuri kweli..someni someni alaf mtaniambia kama ina mpangow au la
jamani google haileti mahacker ,ukitaka kua hacker fanya practice home..au kasomee linux ,,ma hacker wengi hawatumii win7 wala mac..hua wanatumia os kama linux..hacking is not a study,na hiyo ethnical hacker course ujing tu mnafundishwa jinsi ya kujiweka secured..na kwa bongo hapa mhhhh shughuli...
kuna ma webmaster wengine wanaweka site zao under full observation,wakiona ip mpya zimeping page zao watagundua tu so ni diffucult kuhack page,labda watu wakusanyike ndo mtaweza kuhack page..ila viji website vyenye hosting ambazo hazina protection ndo rahisi kuiba,,,ila mi mambo hayo sijataka...
2jadiliane wote na 2elemishane.. Mi nimtafiti wa ma network ya bongo,nachunguza process zote na katika process ya kucheki napata kujua vitu vingi tuu,hadi wapi kuattack..but nimeona sasa ni mda wa kujiunga na wabongo wenzangu ili 2 fly high wote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.