Umenichekesha sana!
Umenikumbusha kisa cha Malkia au Mfalme mmoja wa Uingereza ambaye alipo ambiwa kuwa watu wana njaa na hawawezi kununua mkate, yeye akawajibu, kwanini wasile keki?
Je una uhakika? Tusiwe wasahaulifu kwanini tusahau yale majigambo kuwa kuna mitambo ilinunuliwa, kama miaka minne yenye uwezo wa kuvuruga mawasialiano yoyote?
Tusiwe wasahaulifu!
Ufungwe jiwe zito shingoni utumbukizwe baharini. Mtu analeta habari nzuri kiasi hiki unajibu matapishi? Watu kama ninyi ndo wa kupewa 'ban kabisa. Hivi ma 'mod wa JF badi mko usingizini?
Kuna msemo humu ndani unasema "....You can't fool all the people all the time". Tupishe na stori zako hizo.
CCM imekuwa madarakani kwa kipindi gani? Wamefanya nini? Wajerumani walitutawala kwa kipindi kifupi mno! Mpaka sasa hivi tunaona investement walizowekeza. Ukoloni wa CCM ni mbaya...
Sayansi ya siasa au Political Science ndiyo muanzisha uzi anafanya. Kutaka kujenga mazingira yote kuonyesha kuwa Kuna mtafaruku au aanzishe mtafaruku.
UKAWA imejipanga hachonganishiki mtu. Lengo kuu la UKAWA ni kuwaondoa wakoloni hawa weusi.
Duh. hizo information kuhusu mbayuwayu umezitoa wapi? Na hizo pitot huwa ziko ngapi? zote ziingiwe na mbayuwayu? Na ile concept ya super cooled liquid imetupiliwa wapi ambayo ndo wataalamu walikuwa wanailalamikia?
Ngoja muibiwe!. wote mliomo humu mnakumbuka ya shilingi moja ya mwinyi na shilingi tano iliyokuwa ina picha ya benki kuu?
Jamani Fanyeni kazi muache ndoto za alinecha
Watu wanapata ajali kwa kuvutiwa kuangalia warembo, walio nusu uchi.
Pamoja na kupetipetiwa na abiria hao wa kike.
Helmet siyo kigezo cha kuzuia ajali isitokee. Helmet itasaidia tu mtu asipasue fuvu lake.
Dar es Salaam; Tanzania: Tanzania
has granted a licence to Vietnam-
based telecoms operator Viettel to
build a third-generation (3G) mobile
phone network in the country, a
senior official said. Viettel will
compete with the four other main
operators: Vodacom Tanzania, a unit
of South...
Kama hisa za Zantel zimenunuliwa kwa asilimia 20 zaidi na Etisalat basi Zantel ilikuwa hoi. ..
Na hivyo inawezekana makampuni hayo tajwa yalijua hilo yakawa yanamendea taratibu. Ndipo Etisalat baba lao ilipogundua ikaamua kununua share zaidi. uonaona hiyo logic?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.