Ngwendu nafikiri hawa madaktari hujawaelewa vizuri! kuna mambo ambayo walikubaliana na serikali wakati wanarudi kazini kuwa watu ambao ni kikwazo pale wizarani ni hao mawaziri na inabidi watoke, maana hao madaktari wakifikia makubaliano na serikali hayo makubaliano yao inabidi yatekelezwe na...
Tupe source......!!!!!!!!!! kama mkubwa wake hataki basi wananchi watamwajibisha kwani kuna nini katika uwaziri mpaka aung'ang'anie? kwani alizaliwa akiwa akiwa waziri? kwanza wengi tulikuwa hatujui kuwa yeye ni naibu waziri mpaka baada ya mgomo, maana siyo creative wanaonekana wakifungua warsha...
Jamani hata wale weupe anaowaomba misaada wanatushangaa kwa nini tulimpa yeye madaraka ya kutuongoza! jamaa hawezi kabisa wananchi wako wanakufa halafu upo kimia baada ya miaka mitano mkawaombe tena kura! Jamani hebu tuwe serious kidogo na msitakabali wa nchi yetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.