Duu! Nashukuru kwa ushauri, kwenda India inategemea na uwezo.mWengine ni watoto wa mkulima pure,tunategemea kuishi kwa jembe la mkono.
Thanks da'Faiza fox, mungu akibariki nitaenda India.
Akili Kichwani,
Nakushukuru sana ndugu kwa huu ushauri,nitaufanyia kazi.
Hearing aids nimesha ziacha baada ya kuona zinaongeza ukubwa wa tatizo.
Thanks.
Hodi jamvini!
Nina sumbuliwa na masikio tangu 2003, sikio langu la kushoto linatoa milio isiyozimika toka mwaka 2003 na pia usikivu wake ni hafifu sana. La kulia nalo usikivu wake ni wastani na huwa kama lina geuka kwa ndani na kusabibisha kutokusikia. Kwa mfano, kama nikimeza chakula, au kupiga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.