Kusema kweli kwa hali ya kisiasa ya nchi ilivyo kwa sasa,ofisi ya msajili wa vyama vya siasa nchini inahitaji kuwa na mabadiliko muhimu ili kutengeneza kuaminiana miongoni mwa vyama vya siasa nchini.Katiba mpya itengeneze tume maalum ya kumteua msajili na kuipeleka kwa rais.
heko jeshi la polisi kwa kazi nzuri ya kupambana na wahuni wachache wanaotafuta kugawa nchi kwa maslahi yao.nakubaliana na Rais kikwete kuhusu rasilimali za nchi,tukiruhusu madai haya ya wanamtwara yapite kama yalivyo,hakuta kuwa na nchi maana hata watu wa mbeya wanaweza kuzuia magunia ya viazi...
karibu prof.jay ujiunge kwenye timu ya makamanda kuikomboa nchi.Onyo.kama umetumwa ni bora utuambie mapema tukuignore mapema kwani tukigundua wewe umekuja kutusaliti tutakufukuza kwa aibu
Hata mimi nimemshangaa nape kumpinga boss wake.Nape tumia busara katika nafasi uliyopewa wewe bado ni bwana mdogo sana huwezi kushindana na Mh Lowasa kwenye ulingo wa siasa za tanzania.
Tunasikitika kwa ajali ya wanajeshi wetu ila nashauri serikali inayoongozwa na Rais Jakaya mrisho kikwete sio kila mahali unaweza kutumia vyombo vya dola na ukatarajia kupata usuluhishi bali inaleta chuki kati ya wananchi na serikali yako
jamani naomba watanzania tusishabikie sana kwa yanayotokea huko Mtwara kwani amani ikipotea ni janga la wote bila kujali huyu ni wa kusini au kaskazini.Serikali ikae na wananchi wake na kutaka maridhiano badala ya ubabe.
Tusitumie hizo simu kutukana viongozi wa kitaifa, bali tutumie simu kumwonyesha Anna Makinda na Job ndugai kwamba kiti walichokikalia sio mali ya ccm bali ni mali ya umma wa watanzania bila kujali vyama vya siasa.wanachofanya makinda na Ndugai ni kudhoofisha nguvu ya chadema
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.