hivi ndugu unafikiri huyo katuni wa 1842 ni ccm au ni chadema? Ccm ndio hamtaki watu waandamane kuonyesha hisia zao kuwa hamuwaridhishi kila jambo ni siri ili "business yenu" i-survive
Hali ni mbaya sana katika Hospitali zetu baada ya kugundulika vifaa vya kupima VVU havitoi majibu sahihi. Akina mama wanajifungua bila kupima hivyo usalama wa watoto wanaozaliwa haujulikani, wanaotaka kuoana nao mambo ndo kama hivyo, upatikanaji wa damu salama ndio balaa yaani watu wa ajali...
jamani nisaidieni sina habari kuna crisis ya kikatiba CCM inayohitaji dharura ila naamini jamaa anaweza tiwa aibu na wenzake waliomsaliti nahisi kama timu haiko ktk stence nzuri
Mwalimu Nyerere alishasema dhambi ya kubagua haiishi lazima itaendelea kuwala tu. Walijiona wao ni wamoja kwa kuwadharau CDM bila kujali ukweli na haki, sasa ile dhambi ndo inawala na wasiporudi na kujisafisha itawamaliza kabisa. Hiki chama sijui kina ndumba gani, yaani watu na akili zao...
Mh Mnyika una mawazo mazuri na yenye mguso kimantiki, lakini hawa jamaa unaowapa huo ushauri ni muflisi kabisa, hatua waliyofikia hawawezi by any means kuimarisha uzalishaji na usambazaji wa gesi, hawana na hata wakiwa na plani ya umeme wa dharura hawawezi kutekeleza. wamekata tamaa kila mmoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.