Mbona wengine masters ndio zimewapa ajira tena bila experience. Acha kukatisha watu tamaa kwa sasa degree ni kama form6 tu. Sasa jichanganye kwenye interview ukutane na mtu mwenye gamba la masters uone kama utasalimika.
Acha ujinga huu toka lini mbunge akujengee zahanat na daraja kwani kodi anakusanya yeye? Kazi ya mbunge unaijua kwel na kuna mahali umeona Mnyika hajatimiza wajibu wake kama Mbunge?
Ila kwa sasa kuna mhindi mpya pale magogoni, kwakweli ni mnanyanyaso kwa kwenda mbele kwa walio na ajira na wasio na ajira. Kibaya mhindi huyu hashauliki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.