Katika kutendea haki mambo hakikisha haumung'unyi maneno,
kwahili Lissu amechemka kwa mtanzamo wa karibu lakini kwa yule anayetazama mambo zaidi ya pale na jinsi anavyo yaona lissu yuko sahihi kabisaaaaa, katika hili watu watatafuta mchawi hata kwa nguvu ilimradi dhamira yao ya kisiasa itimie...
Ndugu zangu waislam tufanye harakati ambazo ajenda zake tunazifahamu, kama huyu naibu amekuja toka oman hata kikinuka yeye atakuwa wa kwanza kukimbilia oman, hebu jiulize ndugu yangu mzanzibar wa makunduchi,kojani pemba na kwingineko zanzibar ambaye hata mlo wa siku moja unatusumbua hata kuweza...
Huna lolote zaidi ya kujawa na chuki za kidini, acha akili yako ifanye kazi na siyo kufanyia kazi mawazo ya wengine.Naomba abdulahim uniambie rasilimali na makanisa vinahusiana nini kama siyo ajenda za siri zilizovikwa U-muungano, siwezi kushangaa kwani kuna hata waliodiliki kutaka Mombasa...
Duh! ninawasiwasi na elimu yako, hata walio shule za kata wanatambua kuwa mawe ni madini, sasa huoni milima yote ya mwaza ina mawe? hayo ndiyo madini ya kufikia bila kufanya uchunguzi wa kina. We gamba kabisa walaumu serikali yako kwa kukupa elimu ya darasa la pili (kusoma na kuandika)
Unachokiongea ni sawa na mlevi anayejitapikia pasipo kujua nani kakudanganya CAG anajikagua? wana JF tunapochangia tusieleze hisia zetu bali ukweli unaoambatana na ushahidi.
Ngozi ya mwili inahitaji matunzo,matunzo yenyewe yanaanza na chakula unacho kula, mafuta unayopaka na hali ya hewa unayoishi. ukitaka kuami haya ninayo sema hebu tafuta picha za mchezaji wa Ivory Coast Drogba alipotoka ufaransa na kuja England kunautofauti mkubwa katika muonekano wa ngozi yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.