NI kweli aliyasema hayo kwenye taarifa ya habari Mlimani TV kwa macho na masikio yangu nimemsikia na kumwona akisema hayo.
hatuna record ya habari hiyo lakini kama ni muhimu sana itatafutwa clip hiyo kwa wahusika hasa mhariri wa mlimani TV
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UENDESHWAJI WA UDAHILI - ELIMU YA JUU KWA MWAKA WA MASOMO 2012/2013UTANGULIZITume ya Vyuo Vikuu Tanzania (Tanzania Commission for Universities-TCU) ikishirikiana na Baraza laTaifa la Elimu ya Ufundi (National Council for Technical Education - NACTE) pamoja na Bodi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.