Nishati na Madini wa out of Pinda's Jurisdiction! Sasa wamesimamishwa tu? Soon tutasikia kamati inaundwa kuchunguza suala zima next watapangiwa wizara nyingine! Shame!!
Moja kati ya madai ya madaktari ni kumtaka KM kujiuzuru, je mdororo wa uchumi unaingia vipi katika hili? Hata kupatiwa audience na viongozi mnasingizia hali ya uchumi??? Jamani wachumi tunaomba kuelimishwa kidogo hapo.
Inasikitisha sana kuona jinsi gani Watanzania tunavyodanganywa wazi wazi! Cha ajabu kuliko vyote akija mgombea mwingine atapita kilaini! Inhali yale yaliyosemwa hayajatekelezwa hata asilimia chache! Mungu tusaidie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.