kama kuna watu wajinga(sio wapumbavu) humu JF we ndo wakwanza yaani mpaka leo unajua wakisema mtu anapelekwa nje inamaanisha madaktari wa bongo wameshindwa pole sana..mtu anapopelekwa nje ni kwamba madaktari wamegundua tatizo lakini tiba yake haipo Tanzania (kwa sababu sekta ya afya haina...
SOMA HII KAMA UNA IQ SCORE ZAIDI YA 190
Baada ya miaka kumi tu ijayo kuanzia leo wananchi watakuwa wanaandamana kuishinikiza serikali kusolve tatizo la hospitali kutokuwa na madaktari wa kutosha kwani hamna mwanafunzi aliehitimu PCB advanced level atakae taka kusoma fani ambayo ni ngumu, miaka...
walewale wasifikiri vizuri sasa mtapata nchi kwa kuchoma makanisa???? kwani wakristo ndo waliochukua nchi yenu ??? you are not great thinker..... please admin. get this hell out of here
Alama ile inamaanisha tiba nakubaliana na hoja ya kijiti kilichotumika kutoa minyoo mwilini kwa ile hoja ya musa iko kidini zaidi wengine hawataamini hata km ni sahihi... na je ule ukumbi wa nkurumah wa UD unamaanisha nn?
Kama ulishaweka akilin kwamba kuna ubaguzi kati ya bara na znz hakuna utakaloliona jema kwanza ondoa hizo kasumba kisha fuatilia kiundani usikurupuke kulaumu muungano
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.