Cha ajbu wake ECO-IMPERIALISTS kutoka Kenya (WWF& CO) waliopinga tusijenge barabara Serengeti wako kimya juu ya huu mradi kwa sababu una manufaa kwa kenya
Tazama from 10:30
Hili sakata lilishajadiliwa sana hapa JF kwa kuanza soma hapa:
https://www.jamiiforums.com/business-and-economic-forum/112298-brela-yakana-kuuziwa-software-tsh-1bn.html
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/113774-mawalla-advocates-yaijibu-jamii-forums-2.html
Kisha soma hapa...
wewe weka vitu humu mambo ya kumezea yamesababisha watu wafe
siku aki resign kutoka kwenye public office ndio tutamwacha kwani atakuwa ni private citizen
JF tushamngoa Blandina sasa inabidi tuhamishe majeshi kwa Mary Nagu na yule babu cha uzingizi
Na wala msipate taabu kutaka kuleta hoja za kisomi nyie leteni madudu yao tuyaanike kisha tuhamie kwa wengine
Naamini kwa hili itakuwa JF itarudi kwenye misingi ya ke ya asili...kutetea maslahi ya...
Hatuna haja ya kusema mengi lakini naomba threads zake hizi zirejeshwe hapa kwenye SIASA
Leo Bungeni kaenda kupayuka kuhusu JF
https://www.jamiiforums.com/celebrities-forum/99912-mama-rwakatare-ni-mtakatifu-au-mtakavitu-5.html...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.