Kwa kweli japo umeomba thread iachwe lakini ina hadhi kabisa ya kufutwa!, unaongea kama vile umekamatwa ugoni. huleti hoja ikaeleweka wala huoneshi ukweli wa kile unachokisema. Kwa wale wanaomfaham Blandina Nyoni utendaji wake wa kazi ni Kiongozi makini sana na ni mwepesi wa kusikiliza na...
Bantugbro umeshawahi kugoma kwa lolote hata kwenye mgomo wowote ambao wanaharakati waligoma au nawe unataka uonekane tu kuwa unapost? Walimu wako wamegoma mara ngapi mpaka leo serikali yako ilifanya nini? Madaktari waligoma mara ngapi ili kuongezewa posho na wakabaniwa? usikurupuke kupost ndugu...
Huo ungamia wako unautumia vibaya, kwani madaktari wameyeyushwa mara ngapi na hao viongozi wako pale walipokubaliana wakutane na viongozi wako wakalala mitini? haya nenda na hiyo pinda wako mkatibu watu muhimbili na kwingineko tanzania. msilete siasa kwenye haki za watu.
Pinda nadhani uzee wake anaanza kuutumia vibaya, nadhani huu ni wakati muafaka wasomi wa Tz kuheshimu profession zao na kusimama thabiti pasipo kuyumbishwa na hawa wanaotuhujumu kiuchumi. Daktari akamtoe India ana uwezo wa kulipa kiwa dollars wakati haya madafu kashindwa kuwalipa madaktari wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.