Search results

  1. M

    Matokeo ya lulu kidato cha nne haya hapa

    Vip lakini kimaisha, kati ya we ulopata ma A na ma B+ na yeye mwenye D na F. Life is about Talent and not A's.
  2. M

    Kwa wenye uelewa wa hili humu jf tafadhali jibu hili swali!

    Na katika hali ya kawaida, mtu anaweza kuwa professor kabla ya kupata Poor Hair Disribution (Phd). )
  3. M

    Revealed: Tanzanian Thieves have Sh315bn in Swiss Banks!

    Sijasikia hii, ningepata source ningeshukuru jamani. Shukrani kaka.
  4. M

    Mnyika huwezi vita binafsi na Kikwete

    Mnashindwa kufanya kazi mnaanza kujipendekeza. Kila anajua Kikwete ni dhaifu, hata wewe unajua. Ila ni nani aseme , tena mbele ya bUnge ndo ilikuwa issue. Mnyika anawakilisha maoni ya watanzania pamoja na wewe unayejua ukwele ila unajipendekeza tu mradi upate ka cheo. Endelea na ka mradi kako ka...
  5. M

    PICHA; Mkutano wa CHADEMA Newala Jana!

    Kweli Mbowe ni jembe. Come what may, atatufaa hasa kwa u Pinda.
  6. M

    NCCR yamtaka Mh Ezekiel Wenje kuomba radhi

    NCCR Mageuzi kimekitaka CHADEMA kuomba radhi ndani ya wiki moja kufuatia shutuma zilizotolewa na Mbunge wa Nyamagana kuwa NCCR ni CCM B
  7. M

    Malawi’s Joyce Banda to sell off presidential jet and luxury fleet

    Malawi’s new president, Joyce Banda, has dumped her predecessor’s presidential jet and fleet of luxury cars, in yet another move that sets Banda apart from the nation’s past administration. Serikali yetu inapata somo hapa?​
  8. M

    Kwa haya, Utaifa wa chadema una walakini...!

    Uwezo wako wa kufikiri ulipogota, ukadhani watu wote wana upumbavu vichwani mwao kama wewe. Rais anaenda kuvunja baraza la wezi, we bado unawatetea kisa Muungano. Mshenzi mkubwa, kama unafaidika sie hatupo ila jua moja tu, CCMajambazi, chukua Cahako Mapema, Kwishny. Muunagano tutashehekea na...
  9. M

    Francis Miti: Polisi kuua raia ni ajali kama basi lilivyoua wanataarabu!

    Kweli viongozi wengine ni waropokaji. Mkuu wa wilaya Ulanga anasema raia waliouwawa Ulanga na askari ni ajali kazini kama walivouwawa kundi la Modern Taarabu. Ameongea mwenyewe ITV-Habari ya saa mbili. Nimeshangaa, kiongozi gani huyu. Kwa kauli kama hiyo ingetosha ang'atuke. Kweli hawa askari...
  10. M

    Prof. Mukandala afanya kufuru UDSM

    Unategemea nini kuingiza siasa katika institution nyeti kama UDSM? Amewekwa maksudi na swaiba wake. I appreciate science guys like Luhanga. Alikuwa na weaknes zake lakini huyu anakandamiza wanafunzi, anatumia mali hovyo. Nadhani umefika wakati jamaa naye aachie ngazi.
  11. M

    Hivi mtu anayeipenda CCM anakuwa na Akili ya namna gani?

    Mpaka leo sijielewi, hivi nkitoka CCM ntakula nini, ntaishi vipi? Naona upinzani wana maono mazuri lakini njaa yangu inanibakiza CCM. Huku kwetu ukiropoka tu, ka cheo tayari, sio ndo maisha bora hayo. Mtanisanehe bure.
  12. M

    Hizi za TRA

    Ebu changamkia hizi wadau, deadline tar 23 March, ckuziona hapa jamvini http://www.tra.go.tz/index.php?option=com_content&task=category&sectionid=10&id=21&Itemid=59
  13. M

    kibonde anaongea kitu asichokifahamu

    Hivi Kibonde ni jina lake au kuna mtu alimtukana huko shule kwa ukilaza afu jina likashika. Huwa linaongea tu. Sisikilizi walakuangalia clouds sababu yake. Damn you Kibonde.
  14. M

    Vibaraka waandamana kupinga mgomo wa madaktari

    Nilisikia jana kuwa wanahakati binafsi wataandamana kupinga mgoma wa madaktari nikawa na shauku ya kujua wanaharakati hawa wazalendo. Nilipowa kwenye taaarifa ya habari chanel 10, nimeishiwa pozi. Kiongozi woa Salumu tunamjua kuwa ni kibaraka anaefata upepo wa iliko pesa. Ni dhahiri haitoki...
  15. M

    Mshahara ya NIDA (data entry)

    Mshahara ni laki 4 + kidogo. Vp huyo dogo aliomba lini, maana hata mi nilipeleka application sio cku nyingi Mlinzi akutuambia interview ilikuwa jana yake na wanategemea kuchukua tena mwezi wa nne. Nahic washanimwaga, maana nilipeleka tu bila memo.
  16. M

    Nida

    Angalia, sio wote wanaopata lower second walifanya mchezo. Imagine mtu anaekaa mtaani ambako lazima ajipikie, akachote maji na shuguli nyingine za home. Usije ukajilinganisha nae hata ka una upper second kitaa kugumu bwana. Big up waajiri wote wasiotaja ma upper second. Kuhusu nida, hiyo system...
Back
Top Bottom