Tanzania is already savouring the prospect of energy wealth with the announcement in February that Norwegian oil group Statoil and US company ExxonMobil had together discovered there a large natural gas field with reserves estimated at 140 billion cubic metres.
Now it also wants a slice of...
wewe ndungu yangu uliyetuma hizi picha,kwani kwetu tz hakuna watu hawa?nenda madampo makubwa utawaona,mfano kule mtoni kwa azizi ally kuna dampo kubwa kacheki.. panapokuwa na maendeleo ndugu uache ujinga fikiri ndugu, na penda maendeleo..acha kuweka vitu ambavyo hata kwetu tz vipo na sio tz tu...
Lakini na wewe muandishi wa huu uzi umepotosha kidogo.Kutoka gazeti la East Africa la wiki hii na iliyopita liripoti kuwa hiyo highway imejengwa kwa msaada wa nchi ya moja ya kiasia ambayo ni china.na miradi mingi ya kijenga miundombinu ya kenya ni misaada ya China na Japan (kupitia JICA).kwani...
Just now... kinachoenedelea Bungeni, ghafla, wakati anaongea Profesa Anna Tibaijuka (Waziri wa Ardhi na Makazi), umeme mara likatokea giza!!! Nikazani ni matatizo ya Matangazo ya TBC. Lakini ikathibitika ni umeme umekatika na baada ya Profesa kuomba maelekezo ya Spika kumwambia aendelee kujibu...
"MKAPA AMKAANGA JK"
RAIS mstaafu, Benjamin Mkapa, jana aliikaanga serikali ya Jakaya Kikwete mahakamani akidai kuwa hakuna ubadhirifu wowote uliofanywa na aliyekuwa Balozi wa Italia, Prof. Costa Mahalu, katika ununuzi wa jengo la ubalozi nchini humo.
Akiongozwa na wakili wa utetezi, Alex...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.