siamini kama kupewa vyombo uoshe na kuambiwa uchunge mbuzi kama ni mateso, mf mie nimelelewa na wazazi wangu wote wawili, lakini tulikuwa tunaenda kuchunga ng'ombe, tulikuwa tunapika na kukata majania ya ng'ombe wakati wa mvua. Na vyombo tuliosha sana....sa sijui na mie niibuke niwanmbie wazazi...
kuelewa nako linatakiwa liwe ni somo jipya, me nadhani labda wanataka MUNGU awaonee huruma, kitu ambacho si kibaya hata kidogo, kwani hata na Wamarekani ambao ni mfano wa waliofanikiwa wameandika kabisa kwenye nembo ya taifa lao kuwa "IN GOD WE TRUST", pia katika wimbo wetu wa taifa tunasema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.