Asante mkuu. Ni muhimu watujuze maana walifanya jambo la busara Sana kuunda time bila shaka kutakuwa na mambo ya watakayo shauri jamii kuyazingatia inapotokea ajali kama hizi. Tunasubiri ripoti kwa kweli, wasijikaushe
Kwa kweli utekelezaji ni changamoto. Tunahitaji kujenga utamadauni wa kuwajibika na hili ni moja kati ya mambo anayo yapigania sana Mkuu wa Nchi. Awakurupushe waliopewa dhamana ya kuchunguza ajali hiyo watupe ripoti tujue.
Ndugu wadau wa JF, salaam kwenu. Hongereni kwa kazi za kila siku na poleni kwa wale wote mliopata changamoto/shida/misukosuko iliyotokana na kutimiza wajibu wenu.
Naomba kufahamishwa ndugu zangu kama ripoti ya Tume iliyoundwa ili kuchunguza chanzo cha ajali ya moto iliyotokana na tanki la...
Kwanza nawapa pole ndugu zetu. Binafsi Kyela ni kwetu, Kijiji cha Ikolo alikozaliwa Mwakyembe. Kama haja-raise voice kwa kweli hajatenda haki kama kiongozi
Wadau,
Kwa wataalamu wa usimamizi wa miradi ya ujenzi (project managers) naomba kujua situation kama hii kampuni ifanyeje.
The issue is: Katibu wa TUICO amekuja site kwetu akiwa na madai kibao aliyodai yametoka kwa vibarua. Mawili yaliyonipa changamoto ni:
1. Tunatakiwa kuwapeleka likizo ya...
Mzee Mwanakijiji,
Ni uhuru wako kabisa (na kwa Mtanzania yeyote) kutoa maoni yako na fikra zako maana ni haki ya kikatiba ili mradi huivunje sheria. Nimesoma mtazamo wako juu ya wabunge wa upinzani wanaotetea kwa nguvu haki ya watanzania kupata habari ya vikao vya bunge moja kwa moja (live...
G Sam,
Mimi nionapo tu post zako huwa nasoma maana najua huwa unaadika kwa kufikiri. Lakini hii ya leo, ah! you have gone too low! sijui umepatwa na nini? au leo hujashinda vizuri? vipi kichwa kinakuuma? Anyway naungana na mchangiaji mmoja aliye-comment kuwa aliyemwakilisha rais ni makamu wake...
Mzee Mwanakijiji,
Nianze kwa kusema, mimi ni mmoja wa wasomaji wako wa makala za kwenye magazeti na kwenye mitandao. Kwa kuwa mpaka muda huu ninavyoandika ujumbe huu, bado sijaacha kusoma makala zako japo dalili zinaanza kuonesha, naweza KUTAMAUKA halafu nikaacha kusoma makala zako. Siku...
Kwa umaarufu wa Lowassa,wapo wanaCCM(hasa hao wa vijijini mnaojidai nao) watakaompigia kura wakidhani safari hii CCM wamesimamisha wagombea wawili; hapo ndipo kutakuwapo na kilio na kutoa makamasi kwa CCM. Endeleeni na matwaweza yenu, shauri yenu.
Wadau,
Hii nimeikuta Mwanahalisi Online akiandika nguli wa habari za uchunguzi na ukachero,Ndg Saed Kubenea. Soma mwenyewe hapa chini..............
JINA la Edward Lowassa, mmoja wa wasaka urais kwa udi na uvumba, limeenguliwa katika hatua za awali za kinyanganyiro hicho. Anaandika Saed...
Yericko,
Yeyote asiye wa kiroho hawezi kuelewa ulichoandika. Na zaidi sana walio wa shetani watakupinga.
Tuendelee kumuomba Mungu ayateketeze haya majini na mapepo yao ili tupone. AMINA.
Pasco,
Kwamba hujui kuwa CCM wamepiga hesabu vibaya baada ya kushindwa kuua CHADEMA, CCM wakiwa ndani(kwa kuwatumia waasi ZITO,KITILA na MWIGAMBA) sasa wameamua kuwatanguliza hao hao kwenye uwanja wa mapambano hadharani kwa kufikiri kuwa wakivaa magwanda yaliyoandikwa ACT- Wazalendo basi...
Mkuu gasgas,
Pua huanza kufukuta then naanza kupiga chafya nyingi ambazo baada ya muda mfupi mafua huanza kuchuluzika. Pia kichwa huuma wakati mwingine. Nimekuwa natumia piriton ili kukausha lakini lazima nilale walau saa moja ili yakauke. Nisipolala hata nikimeza piriton kiasi gani hayakauki...
Wadau,
Nina allergy ya mafua ambayo nimeipata ukubwani nilipofikisha miaka 30 hivi. Mpaka sasa nasumbuliwa na strong perfumes, harufu ya baadhi ya sabuni za kuogea, kufulia na harufu zingine kali.
Naomba kujua dawa nzuri itakayonitibu au hospitali nzuri wanayotibu allergy kwa hapa Dar...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.