Kwa postgraduate wanazituma kwenye account aliyoitumia mwombaji sina hakika kwa undergraduate lakini kwa uzoefu huwa hazitumwi kama wanavyofanya sekondari
Nahisi tatizo TV1 wanaonesha kombe la mabara na startimes ndio wamepewa kuonesha hizo mechi. Naona wameleta kikwazo kwa azam nao azam hawataki kuweka wazi
Laiti kama serikali na wabunge wa ccm wangejisumbua tu kidogo kuchambua mchango wa huyu waziri wa nchi ikulu kazi maalum, bunge lisingefika hapa lilipo
CHADEMA kuondokewa na mtu kama John Lameck Lubote ni kupunguza mizigo. Kwa tunaomfahamu tulijipa muda na sasa yameanza kudhihirika kabla hata ya muda wa kumtazama. Inadhihirisha hata jinsi alivyofukuzwa NMB Mtendeni branch Dodoma, kufukuzwa kibarua Tanesco na kuachwa na mkewe. Kwa kifupi huyu...
Vitendea kazi (kama hiyo sare maalumu) ni muhimu kwa wanahabari lakini matumizi ya nguvu kubwa kuliko maarifa (kwa upande wa wanausalama) ni kujenga chuki kwa jamii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.