Mkuu Kibe, huyu mleta thread anaonekana ana chuki binafsi na Dr. Hosea, hakuna mgogoro wowote TAKUKURU kuhusu Mkurugenzi, hata hiyo safari haikuwepo, JF sasa ni kama gazeti la udaku, uzushi mwingi!!!?
Hii habari ni uzushi mtupu, Dr. Hosea hajasafiri hivi karibuni kwenda USA, isitoshe jamaa ni muadilifu sana, miliono 45 kwa MKURUGENZI WA PCCB ni hela ndogo sana, Watanzania tujiepushe na hizi propaganda zisizokuwa na maana yoyote
Leo kuna habari nzito katika vyombo vya habari kuhusu mama yake Zitto kuvamia nyumbani kwake na watu inaosadikiwa kuwa ni majambazi.
Hili lina utata mkubwa sana ikizingatiwa kuwa Zitto amekiea akiandamwa sana na viongozi wenzake ndani ya CHADEMA
Ikumbukwe kuwa Deus Msaki ambaye ni mtu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.