Search results

  1. K

    Nauza kiwanja kipo Kinyerezi

    mwendo wa dakika kumi kutoka wapi?
  2. K

    Kwa wale wanywaji wenzangu, Hennessy cognac si mchezo

    badala ya kuwaza maendeleo unawaza pombe tu
  3. K

    CHADEMA: Tumejiandaa na uchaguzi wa Serikali za Mitaa

    Wamejiandaa kushindwa
  4. K

    Slaa asema uongo tena, atangaza kuibiwa kura 2015 na kushutumu ununuzi wa Helkopta ya Rais

    ukiwa CHADEMA lazima ukubali kununuliwa, hivi Shibuda alipewa sh. Ngapi kuhamia CHADEMA
  5. K

    Slaa asema uongo tena, atangaza kuibiwa kura 2015 na kushutumu ununuzi wa Helkopta ya Rais

    Leo ndio mnajua umuhim wake, mbona mlishindwa kuhudhuria hata mazishi yake
  6. K

    Dk. Slaa amlipua Rais Kikwete kwa kujigeuza Ofisa Manunuzi

    Katika hayo mapambano, nani amekiwa mshindi siku zote?
  7. K

    Slaa asema uongo tena, atangaza kuibiwa kura 2015 na kushutumu ununuzi wa Helkopta ya Rais

    hivi, hadi leo kuna watu wanamjadili Slaa... Mkuu Mtela Mwampamba hebu acha kumpa promo huyu mzee aliejichokea
  8. K

    Nyongeza ya mshahara: Siri yafichuka,nini kilifichwa bungeni na waziri wa utumishi wa umma

    naona unalalamika tu, hujasema ilitakiwa iongezwe asilinia ngapi, na kwanini?... Bavicha bwana
  9. K

    Dakta Hosea ni kweli haya?

    Mkuu Kibe, huyu mleta thread anaonekana ana chuki binafsi na Dr. Hosea, hakuna mgogoro wowote TAKUKURU kuhusu Mkurugenzi, hata hiyo safari haikuwepo, JF sasa ni kama gazeti la udaku, uzushi mwingi!!!?
  10. K

    Dakta Hosea ni kweli haya?

    Hii habari ni uzushi mtupu, Dr. Hosea hajasafiri hivi karibuni kwenda USA, isitoshe jamaa ni muadilifu sana, miliono 45 kwa MKURUGENZI WA PCCB ni hela ndogo sana, Watanzania tujiepushe na hizi propaganda zisizokuwa na maana yoyote
  11. K

    Mama yake Zitto avamiwa

    Leo kuna habari nzito katika vyombo vya habari kuhusu mama yake Zitto kuvamia nyumbani kwake na watu inaosadikiwa kuwa ni majambazi. Hili lina utata mkubwa sana ikizingatiwa kuwa Zitto amekiea akiandamwa sana na viongozi wenzake ndani ya CHADEMA Ikumbukwe kuwa Deus Msaki ambaye ni mtu wa...
  12. K

    Ndugai: Mawaziri kutokuwepo Bungeni wakati hoja inajadiliwa ni Sawa!

    Rekebisha heading yako,Mbona Una haraka hivyo
  13. K

    Toyota platz!!!

    Wakuu!!! Nahitaji gari tajwa hapo juu. Iwe katika hali nzuri, bajeti yangu ni 6m
  14. K

    Nape kweli kichekesho: Katoa challenge ya kijinga, Anaka muasisi ambaye hakutoka CCM

    wapo wengi, kwa uchache Halima Mdee, Zitto Kabwe, Tundu Lissu na Sugu
  15. K

    Esther Wasira: Viongozi Waache Kutoa 'Cheap Answers'

    wewe leo umekunywa kiroba nini!
  16. K

    Esther Wasira: Viongozi Waache Kutoa 'Cheap Answers'

    dah, mkuu umeua sana, angalia kwenye facebook ameweka picha ya nyumba yake anayojenga
  17. K

    Mayai ya blue

    weka picha yake hapa, acha kutudanganya
  18. K

    Chadema watifua ndani ya Kilosa!

    Idadi ya watu inaonyesha jinsi gani watu walivyochoka vurugu za CHADEMA
Back
Top Bottom