Ole wao wasio soma alama za nyakati.Jamani watu aina ya akina Bana huwa wapo nao wamo kwenye MSAFARA,ki uhalisia wanajua nini kinaenda kutokea then wanajaribu kupotosha jamii juu ya ukweli wa mambo kama njia ya kujihami. Hakuna asiye jua kama wao ni vibaraka wa CCM
Ndugu zangu wana JF ni vyema tuwekane sawa kwa jambo hiil ambalo sote kama WaTanzania yatupasa kulichukua kwa uzito wa aina yake na kisha kila mmoja kwa nafasi yake ama yeye mwenyewe kuchua hatua au kuelimisha jamii inayo tuzunguka.nimezingatia makundi totofauti totofauti katika jamii, kwa mana...
CCM kushindwa kuwa kuwavua magamba mafisadi si wakupewa nchi tena.
Ndugu zangu wana JF ni vyema tuwekane sawa kwa jambo hiil ambalo sote kama WaTanzania yatupasa kulichukua kwa uzito wa aina yake na kisha kila mmoja kwa nafasi yake ama yeye mwenyewe kuchua hatua au kuelimisha jamii inayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.