Wakuu poleni na majukumu msaada kwa wajuvi kama inavoonesha apo kichwa cha thread ,Mwanzo nili update original certificates nilipoomba ajira nikakataliwa nakuambiwa cjaweka certified certificates,
tatizo linapokuja kila niki edit naku upload crtfied sasa majibu inayonipa ni ayo apo chini msaada
ufinyu wa hoja zenye mashiko na kuwa na mawazo mufilisi ya viongoz ndio yanatufikisha apa inauma sana ngoja niishie apa maana sina milion 7 za kulipa faini.....
Habari za asubuhi wakuu ,jana nimeitwa kuanza mafunzo mara moja katika jeshi la zimamoto ambayo maombi tulituma mwaka juzi
Nilipoona ukimya niliamua kuanza masomo ya degree ya kwanza ambapo kwa sasa naingia mwaka wa tatu na ndipo wao wametuma jana meseji kua natakiwa kuripoti nombeni ushauri...
Mkuu naomba ukipata vibibi ata mi mama sio mbaya tunaitaji sana kuzama uko mkuu maana iyo fursa ni nzuri kaka tz kumekua kwaki ngese mambo ayaendi tujaribu plan c
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.