Nashawishika kuamini hizi taarifa cyo za kweli. SJUT kuna faculties/schools 6. Lakini naona maelezo yako yamebase FOCB tu. Sasa utasemaje chuo kifungwe kwa matatizo ya faculty moja?? Usidanganye watu kwa taarifa ambazo hazijakamilika bana. Usipoteze muda wako kaka. Jipange upya utuconvince.
Sasa we ulitaka wagonjwa wapewe nini wakati hospitalini kuna panadol peke yake. Option iliyobaki kwa Dr ni bora wagonjwa wafe bila kusikia maumivu. Haina shida tumeshazoea hata kwa panadol tunaponaga malaria.
Habari za sa hizi wanajf, Nimeona ni bora niwashirikishe hili jambo ambalo limenitokea mimi binafsi.
Siku ya J4 tarehe 17/04 around sa sita mchana nilipigiwa simu(0717183749) na mtu aliejiita customer care wa tigo lengo likiwa ni kurekebisha huduma za tigo pesa, Akataka nimpatie namba ya fomu...
Mimi sishangai intellijensia ya police wa tanzania kwa sababu wengi wa askari wake kwa ujumla ni wale wenye matokeo dhaifu kidato cha nne na hawakuwa na uwezo wa kuendelea na masomo ya kidato cha tano. Wakaona kujiunga na police ndiyo "shortcut kwao" Uwezo wa kuyafanyia mambo uchunguzi mimi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.