Sidhani kama nchi itahitaji Rais 2025 wakati wa kuishi bila Rais umewadia ili tujitathmin kujua wapi huwa tunakosea...kusiwe na rais kabisa Ikulu ifungwe kwa kipindi iko utafutwe utaratibu mwingine wa kuongozwa
Mwanaume anayeacha pesa nyumbani na kuacha nafasi ya matumizi kupangwa na mke ndiye mwanaume bora kabisa kwa matumizi ya nyumbani mwanamke ana phd yake tangu eden
[emoji23][emoji16][emoji3]kwa hiyo mabeberu wanawaonea wivu upcoming superpowers kwa kuwaletea chanjo ya covid 19
Ila chanjo nyingine hawawaonei wivu....
Inahitaji uwe na akili ya mwendawazimu ili kukuelewa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.