Search results

  1. S

    Tatizo la wanawake kutoshika ujauzito

    Nashukuru wote kwa kunitia moyo pamoja na ushauri,nina ujauzito wa wiki 10 sasa. Mungu awabariki sana
  2. S

    Joshua Nassari MB.

    Huenda anausaka umaarufu kwa nguvu,sory kwa itakaowagusa!!!
  3. S

    Kesi ya kupinga ubunge Igunga leo

    Ushahidi mwingine cku ya uchaguzi gari la mb rage tabora.lilipita baadhi ya vijiji na kutangaza kuwa mgombea wa cdm amejitoa kwenye uchaguzi.
  4. S

    Nassari wa Arumeru Mashariki kushtakiwa kwa uhaini? Anatafutwa na Polisi

    Magamba at work,acheni kukuza mambo if ur real great thinkers
  5. S

    (Docs): Siri ya Kesi ya Mahalu: Ununuzi wa Jengo la Ubalozi Italia

    ahaaa,asante kwa taarifa.ckuwa aware na hilo
  6. S

    (Docs): Siri ya Kesi ya Mahalu: Ununuzi wa Jengo la Ubalozi Italia

    ahaa thnx kwa taarifa,sikuwa aware na ilo.
  7. S

    Tanzania Daima lamshambulia Zitto?

    do u have any primafacie evidence ya kundi ilo??? Au maneno tu ya mtaani?
  8. S

    Tanzania Daima lamshambulia Zitto?

    Mmh sijaliona gazeti,ila nadhani iyo picha imewekwa purposely,anajua mhariri,hivi tanzania daima si gazeti la mbowe??? Au ni uzushi??
  9. S

    Mume na mtoto wa nje!!!

    Mmh cjui wanaume wakoje,i had the same problem,akili yangu yote apa inanituma kuondoka,ila mshirikishe mungu zaid
  10. S

    (Docs): Siri ya Kesi ya Mahalu: Ununuzi wa Jengo la Ubalozi Italia

    Nackia huyu ni vice chancelor wa chuo cha bagamoyo,na vice chancelors ni wateule wa raisi,inakuwaje wakati wana bifu??
  11. S

    Lulu ana mimba

    Masikini lulu,sipati picha anavyowashwa na iyo nguo ndefu.mhh khs mimba mbona iyo ilivuma muda mrefu...ishachuja
  12. S

    Had SEX with a stranger!!! Please help, Have I cheated?!

    ooooh jamani Nyani Ngabu,usichange jina bhana tutakumic unajua.kwikwikwikwi
  13. S

    Had SEX with a stranger!!! Please help, Have I cheated?!

    ndo maana nimebaki nawanda,haiwezi kuwa sawa na kucheat,ila huenda sina uhakika kuna jinamizi lilikujia ndotoni na likakufanya ukweli ndo maana nikakutel nenda sehemu za kiimani,kama church,manyaunyau...chagua wewe ila mungu zaid
  14. S

    Natangaza kugombea ubunge 2015 - ROMBO kwa tiketi ya CHADEMA

    Nimempata vizuri mtoa mada,huenda hana nia ya kugombea rombo ila alitaka cdm itambue ya kuwa aliyepo rombo sio mtu sahihi,ni ukweli cdm rombo haitabiriki..bado kuna kazi kubwa.
  15. S

    Had SEX with a stranger!!! Please help, Have I cheated?!

    Ur not criaz wewe.nenda ukaombewe
  16. S

    VIWANJA 20m x 20m. Bei poa ya kutupa!!! Unapewa na Hati ya kumiliki

    Sasa wewe si dalali kabisa? Coz maelezo yako yanaonesha unapiga debe,sory kwa neno kali.iyo hati miliki naipata baada ya mda gani?
  17. S

    Nifanyeje,nahisi kuchanganyikiwa

    mh iyo imeniogopesha mkuu,ila kumbuka hakuwa na mpango wa kuishi na yule mwanamke,na mwanamke alilitambua ilo kabisa na akatengeneza mazingira ya kupata mimba makusudi kabisa
Back
Top Bottom