Dogo tuseme hili mara ngapi ili uelewe? Tume bado haijapitisha wagombea, kwahiyo hakuna kitu kama hicho. Ni propaganda za WAHUNI WACHACHE huko CCM, umeelewa sasa?
ITOSHE TU KUSEMA, MITANO YA UTAWALA HUU WA MKONO WA CHUMA SASA BASI..
Mgombea wa kukodi huyo, Wazanzibar hawana sifa ya kusimamisha mgombea u Rais kupitia CCM huko. Inasikitisha sana.
ITOSHE TU KUSEMA, MITANO YA UTAWALA WA IMLA/MKONO WA CHUMA SASA BASI..
Safi, na vitendo hivi vya KIFEDHULI vya kuzuia haki za wengine kuishi, vinavyoendelea chini ya utawala huu DHALIMU wa CCM vinapaswa kupingwa kwa nguvu zote na kila mpenda haki na mwenye HOFU YA MUNGU.
ITOSHE TU KUSEMA, MITANO YA UTAWALA HUU WA MKONO WA CHUMA SASA BASI...
Uwezo wa kutumia akili wa mapolisi ni mdogo sana, wanadhani wote tunalingana nao. Mauaji mengi ya KIFEDHULI bado yanafanyika nchini, kilichobadilika mbinu za kuua tu.
ITOSHE TU KUSEMA, UTAWALA HUU WA MKONO WA CHUMA SASA BASI.
Hapo kuna mchezo mchafu, taarifa za mapolisi huwa ZIMEPINDAPINDA SANA. Ukifuatilia sana unaweza kuta ni kama ule mchezo wa KAMANDA ZOMBE na wale Wafanyabiashara wa madini.
Hata hivyo jambo jema ni kwamba KILA NAFSI ITAONJA MAUTI, sisi sote tu wasafir hapa duniani.
MITANO YA UTAWALA WA MKONO...
Kwani Mh Jaji Kaijage ni mwakilishi wa CCM huko NEC? Kauli yako ya "Kumbe nyomi ya Tundu Lisu si chochote si lolote" inafikirisha sana Mkuu.
MITANO YA UTAWALA WA MKONO WA CHUMA, INATOSHA..
Sio kulipwa Mkuu, magu ANAJILIPA bilioni 1.2 kwaajili ya MATUMIZI BINAFSI kila mwezi. Pesa hiyo ni nje ya mshahara, posho, marupurupu na huduma nyinginezo.
Urais mtamu sana, usione usishanagae utitiri wa vijana wenye njaa humu mitandaoni kutwa kucha ni kusifia, kuabudu, kutukuza na kupamba kwa...
Magu anajilipa bilioni 1.2 kwaajili ya MATUMIZI BINAFSI kila mwezi, pesa hizo ni nje ya mshahara, posho, marupurupu na huduma nyingine zote anazogharamikiwa BURE na Serikali.
Hivi vitendo vya KIFEDHULI vya kupoteza wakosoaji, kushambulia wapinzani kwa vipigo na risasi mchana kweupe, kuchoma...
Ndugu, tuungane ili kuutokomeza utawala huu wa MABAVU, utawala usio na uchungu wa maisha ya watu wake. Utawala ambao uko tayari kupoteza raia wema na kushambulia wengine kwa mvua za risasi tena mchana kweupe kwa tamaa na uroho wa madaraka..
Utawala ambao umewatelekeza vijana na kuwaacha wengi...
Ndugu, tuungane ili kuutokomeza utawala huu wa MABAVU, utawala usio na uchungu wa maisha ya watu wake. Utawala ambao uko tayari kupoteza raia wema na kushambulia wengine kwa mvua za risasi tena mchana kweupe kwa tamaa na uroho wa madaraka..
Utawala ambao umewatelekeza vijana na kuwaacha wengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.