Search results

  1. mbayumbayu

    Sakata la DP WORLD: Rais Samia asema Serikali itatafuta mbia wa kuiendesha bandari ya Dar, sasa kuchangia robo tatu ya bajeti ya nchi

    Tuna watanzania wazalendo wa kutosha kuendesha bandari zetu zote na zikaleta tija. watu type ya Mchechu NHC wapo tuwatumie kwanza kabla ya kuwapa wageni chakula mezani.
  2. mbayumbayu

    Rais Samia kuhudhuria sherehe za kutimiza Miaka 50 ya kanisa Katoliki Jimbo la Ngara

    Mahusiano ya Bishop wa Jimbo hilo na awamu iliyopita yalikuwa mabaya sana kwa wale mtakaokumbuka. Amekwenda mwenyewe kurudisha mahusiano hayo na kujenga daraja jipya.
  3. mbayumbayu

    IGP Sirro hatoki kwenye hili la Jeshi la Polisi kuhusishwa kwenye mauaji ya raia

    Kenya wana utaratibu mzuri wa kumpata IGP. Tuwaige hao..
  4. mbayumbayu

    Tangu tupate Uhuru mwaka 1961 hatujawahi kuwa na madarasa ya Shule za Serikali ya aina hii

    Moshi kulikuwa na madarasa mazuri sana. Mleta mada hajafanya utafiti
  5. mbayumbayu

    Serikali: Madalali kupewa vitambulisho maalumu kwa Ada ya tsh 20,000. Dalali atalipwa na mwenye nyumba tu siyo Mpangaji

    Unalinganisha nyumba ya kuishi mtu na familia yake na Taxi ya Uber/bolt ambayo unapanda na kushuka muda mfupi baada ya kufika unakoenda? Nyumba ya kuishi mtu na mkewe na watoto wanaosoma chekechea, msingi na sekondari ina attributes nyingi zaidi. Fanya utafiti kwanza kabla hujaandika
  6. mbayumbayu

    Umiliki wa ardhi uwe wa Mtu binafsi au kampuni binafsi (inayomilikiwa na raia). Tuachane na hii ya kumilikiwa na Rais

    Mleta mada ukitaka kujua ubaya ya hiki unachoshabikia nenda hapo Kenya. Mfumo wetu wa kumiliki Ardhi ni mzuri sana. Ubaki ulivyo
  7. mbayumbayu

    Kyerwa, Kagera: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa agoma kufungua ofisi ya TANESCO kutokana na gharama kutoendana na ujenzi uliofanyika

    Msitukane watu bila sababu. Mngeomba kwanza BOQ yake ndipo muanze kulalama. Kyerwa isiyo Dar au Morogoro. Iko mbali sana na viwanda na masoko ya vifaa vya ujenzi nchi hii. Mfuko wa cement pale mnajua bei yake? Aluminium Profiles zilizotumika je? mabati hayo siyo SIMBA DUMU bei yake mnajua...
  8. mbayumbayu

    Kodi mpya ya Majengo kupitia LUKU inatakiwa kulipwa na Mmiliki wa Jengo na sio Wapangaji wa Jengo

    Duniani kote kodi za majengo ni chanzo muhimu sana cha mapato kwa Local Authorities na mapato hayo yanakwenda moja kwa moja kuwaletea maisha bora wakazi wa mji husika . Fedha haziendi serikali kuu na wala property tax ya Dar haiwezi kwenda kujenga miradi Bukoba. Property tax hutozwa kwa...
  9. mbayumbayu

    Ushauri kwa Balozi Mulamula: Mkitaka Tanzania ifaidike na Diaspora suala la uraia pacha haliepukiki

    Uraia pacha una madhara mengi zaidi kiusalama kuliko huo uwekezaji unaoshabikiwa. Tusipokuwa waangalifu kama taifa kuna siku itafika hata kupata viongozi wa nchi itakuwa taabu maana kila mwenye sifa unayemgusa agombee uongozi tayari ana harufu/ni zao la uraia wa nchi mbili. Mbaya zaidi ni kama...
  10. mbayumbayu

    Manji akibembelezwa 'tutapigwa' tena

    Tafuta kwanza historia ya eneo la NAFCO Kigamboni na jinsi alivyolipata ndipo uongee. Manji hakutendewa haki. Alistahili kulipwa fidia ya haki na siyo kumnyang'anya. Sitetei mambo mengine ya hovyo ya Manji kama kweli yapo.
  11. mbayumbayu

    Next on Straight Talk Africa: Tundu Lissu alongside Professor Lumumba - PLO

    You can watch KTN NEWS also, from Nairobi Kenya
  12. mbayumbayu

    Hizi Sifa za TBC kwa Kijazi zimepitiliza

    Halafu kwenye wasifu wake tumeambiwa na TBC kwamba marehemu alisomea SHAHADA YA UHANDISI WA UMMA hapo Mlimani UDSM. Yaani CIVIL ENGINEERING kwa Kiswahili ni Uhandisi wa Umma..? Mambo gani haya. Shame!!
  13. mbayumbayu

    Waziri Lukuvi asimamisha ujenzi Coco Beach, avunja uzio. Sasa kutembelea fukwe ni bure

    Copacabana beach in Rio is well developed na serikali na wala hakuna kiingilio hata kwa wageni. It's free! Kodi zinazokusanywa zirejeshwe kwa wananchi kwa kuwajengea huduma kama hizo. Siyo kutoza watu fedha kwenye kila kitu.
  14. mbayumbayu

    Je, kila mtu anaruhusiwa kutumia Nembo ya Taifa?

    Sheria ya Nembo za Taifa (The National Emblems Act Cap. 10 R.E 2002) katika kifungu cha 6 ni kosa la jinai kutumia Nembo za Taifa au mifanowe kama trade mark katika kutangazia bidhaa au kitu chochote kilichouzwa au kinachouzwa; kwenye matangazo ya biashara au katika MATUMIZI MENGINE YOYOTE...
  15. mbayumbayu

    Ndugu Polepole, nitajie kituo Cha mabasi cha Wilaya au mkoa chenye Hoteli yenye hadhi Kama hoteli binafsi zinazohusu abiria wa safari ndefu

    Mnataka kutuletea migahawa ya NANGURUKURU huku kaskazini.? Bakini nayo huko huko njia ya Kusini. Kuna siku nilienda Mtwara magazine 2 yakasimama nangurukuru vyoo vya wanaume ilikuwa kwa foleni. Kuna mama alikuwa na visamaki kumi havikutosha kitu abiria wrote waliondoka na njaa zao. Chonde chonde...
  16. mbayumbayu

    Watumishi wa Umma wasiongezewe mishahara, Mfumuko wa bei haujabadilika

    Nyongeza yoyote ya mishahara iende sambamba na maboresho ya pension vinginevyo wastaafu watazidi kuumia. Kutopanda kwa mishahara miaka hii 5 kumewasaidia sana wastaafu wetu. I stand to be guided!!
  17. mbayumbayu

    Tetemeko la Ardhi latokea baadhi ya Mikoa ya Tanzania

    Goba nako usiseme! Limetikisa
  18. mbayumbayu

    Ubalozi wa Marekani nchini wasikitishwa na Uminyaji demokrasia na ukamataji wa Viongozi wa Upinzani nchini

    Sounds like a fake statement! Not from the US embassy we know
  19. mbayumbayu

    Hawa wakenya wamerogwa si bure

    Hapana! Msiwapuuze. Kuna faida wanapata kupitia propaganda hizi. Mtalii anayetaka kupanda mlima Kilimanjaro atakata ticket ya kwenda Kenya na atafikia kwanza Kenya. By the time anaambiwa mlima upo TZ atakuwa keshatumia forex Kenya. Hivyo hivyo kwa Shabiki wa Aston Villa mwenye mapenzi ya kuona...
Back
Top Bottom