Mchaga mmoja hivi alitumbukia kisimani. basi alimwita mkewe kwa msaada,basi mwanamke akatoa wazo la kununua kamba aweze mtoa ndani ya kisima.basi akafuata kamba dukani ambako kamba alinunua elfu moja(1000).kurudi nyumbani kumtoa mmewe kisimani basi mume akauliza kamba umenunua shillngi ngap,i...
Hiki ndicho kizazi cha leo wengine wanakiita kizazi cha bongo fleva.watoto hawana tena adabu.tatizo wazaazi nao mambo yao si mazuri kwa watoto wanaowalea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.