Wapendwa wana JF, ningependa sana nianze kwa kuwapongeza kwakuwa na michango yenu mizuri na upeo mzuri katika kuchanganua mambo.
Clouds Fm especially kipindi cha Pb na Jahazi vimeanzakutoka nje ya mipaka yao na wamekosa has mwelekeo wao nini,Maana siku hiziwamekuwa watu wa majungu na matangazo...
Wapendwa Ndugu zangu Watanzania,Naomba tuangalie kwa umakinisana swala la udini, hili swala liliibuka baada ya uchaguzi na wakati wauchaguzi uliokwisha,Na mbaya zaidi. Viongozi wakubwa wa nchi waliliongea mbeleya umma,haya yanayotokea sasa ni madogo kuna makubwa zaidi kuhusu udiniyatakuja.
Ewe...
NCHI haijengwi kwa kutukana matusi kama yale tena mbele ya watoto wadogo ambao walikuja na wazazi wao,Na alikuwa anajigamba hapa matusi ndipo yalipo KUDADEKI,KAMA UNATETEA HILI NADHANI NA WEWE UNAMATATIZO YA AKILI KAPIMWE.NINA AAMINI MUNGU AMEANZA KUJIBU MAOMBI YA WATANZANIA KWA KUWAONYESHA...
Nguvu ya Umma Haina wakili,Lusinde matusi hayampi mtu kula,Hizo mimba ulizotukana wazazi wetu na hata mzazi wako pia, we ndio umejifungua sasa.VIVA CHADEMA, It is just the begining much more will come 2015
Wapendwa watanzania wenzangu,imefika sasa tuseme basi kuhusu kuendekeza mijadala ya udini,maana hapo zamani tulikuwa hatuwezi kuongea maswala ya ubaguzi wa udini hata mbele ya watoto zetu,lakini sasa hivi hili neon udini kila kitu kinapongelewa chenye maslahi ya jamii au kila kosa linalotokea...
Alikulupuka,sas kila siku Panton mambovu,na hata likiwaka linatumia ingine mbili tu badala ya nne kama zamani?na leo panton dogo mpka saa moja kamili asubuhi lilikuwa halifanyi kazi kabisa sijui kama limefanya kazi baadae baada ya mi kuwa nimevuka,MAGUFULI ALIKULUPUKA ahadi yake ya kuwa gharama...
Alikulupuka,sas kila siku Panton mambovu,na hata likiwaka linatumia ingine mbili tu badala ya nne kama zamani?na leo panton dogo mpka saa moja kamili asubuhi lilikuwa halifanyi kazi kabisa sijui kama limefanya kazi baadae baada ya mi kuwa nimevuka,MAGUFULI ALIKULUPUKA ahadi yake ya kuwa gharama...
hakuna jeshi la polisi TZ,kuna kikundi cha watu kinachoongozwa na watu fulani ndani ya Cham fulani.Kama kweli jeshi hilo lingekuwa linajua nini maana ya haki zao siku zote wangewalinda wanamapinduzi.FISADI AKISHAPATA ANACHOKIPATA SI RAFIKI YAKO TENA.
napigana na hoja yako kwa upande wa demokrasia,ni vizuri uwe na uhuru wakuongea na unavyoviongea havifanyiwi kazi? je kipi bora kuwa na demokrasia ya kuongea na kukosoa afu watu wako wanakufa njaa kwa umaskini,uchumi wa nchi yako uko down?NOTE: ni bora uwe Dictator lakini maendeleo ni makubwa na...
wapendwa wana jamii naomba msaada wenu
mi nilioa tangu mwaka 2007,nina watoto wawili na mke wangu, wakati na funga naye ndoa aliniambia yule x-boyfriend wake aliekuwa naye alikwenda UK kusoma na hana mawasiliano naye tena na ameamua aanze maisha na mimi upya.
siku mmoja ilikuwa tarhe 24 december...
Mungu nikimbilio letu sote na kila tunapopata tatizo ambalo ufumbuzi wake ni mgumu basi Mungu ndio hubaki pekee anayeweza kulitatua tatizo lolote lile,tunashukuru mheshimiwa kwa kukumbuka hilo na kukiri.
Hili swala la kutumia sehemu za kuabudu kwa ajili ya siasa tunaelekea kubaya sana,naomba...
''nina abudu sehemu fulani kwasababu niliwakuta wazazi wangu wana abudu hapo,lakini ningeweza kupewa nafasi ya kuchagua pa kuabudu ningechagua pale napopataka na kupaelewa mimi'' . tusimlaumu sana mi nafikiri tatizo ni hilo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.