Ukweli ni kwamba sio kuwa eti haya mabasi yanaenda kwa speed kubwa ila yanaenda bila kupoteza muda, hapo ndipo neno haraka linakuja.
Kwa wastani mabasi haya yanatembea kwa speed kati Ya 25 km/h likikaribia kituoni na 50 km/h likiwa katikati Ya kituo na kituo.
Pia basi litakalo toka kimara ndilo...
kama zakhia meghji amesema yeye ni mzanzibari na bunge zima limeiyikia ndiooooo unafikiri kuna lisilowezekana bongo.
Mi sishangai binti huyo kuanza shule ya msingi akiwa tumboni mwa mama yake.
Nyerere katika hotuba yake aliuelezea mfumo wa kuficha Mali nje ya nchi kama mfumo wa KISHETANI. Katika hotuba yake alisema...namnukuu
"Mfumo gani huu mfumo wa kishetani, unatoa mali kwa maskini unapeleka kwa matajili. Tunao waswahili ambao jambo la kijinga likitamkwa kwa kizungu linaonekana...
Amlipaye zomaye ndiye achaguaye wimbo. Kwa malipo haya ni dhahili sasa kwamba ccm wanachagua wimbo ambao tume inaicheza. Ni katiba ya ccm siyo ya tanzania
Tayari umeshaingiziwa M pesa elfu 30 kutoka kwa Mwigulu Nchemba kwa kazi yako ya kuiponda Chadema, Endelea kuuza utu wako kwa hizo elfu 30 za akina Mugulu chembachemba
Wizara ya katiba na sheria imetenga kiasi cha sillingi millioni 18 kwa ajili ya kugharamia wajumbe wa tume ya mabadiliko ya katiba watakaopata ukimwi.
Msemaji wa kambi ya upinzani bungeni ameitaka serikali ieleze ni kwa namna hani fedha hizi zitatumika au ieleze ni kivipi wajumbe wa tume ya...
Heshima kwake Mdee. Nimetangaza kuanzia leo nitakuwa namwamkia Mdee, nimemuangalia kwa Makini leo. Ameongea maneno ambayo kwa ccm itawachukia miaka 50 kuyapata kwao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.