serkali ya tz haihitaji sehem maalum maana hawana ndege inayoruka,na hizo zilizopaki nyingne zipo kigoma na mwanza,zimekuwa grounded kwa sababu za kifundi-kwa zile zilizoanguka naamini bado zpo eneo la ajali hadi leo
hapo nilopo bold
nazani unashidwa kujua kuwa mambo ya uasherati na uhuni mwingine ni swala la tabia ya mtu,ni watu wangapi maofisi wanalana mizigo?ni viongozi wangap wapo na kazi nyinmgine na wengine kaz hawana lakiniu bado ni wahuni wa kutupwa?
Pili,magazeti ya udaku hayasomwi na watu...
afadhali hakuna raia alipoteza maisha
nazani taifa sasa halina ndege kabsa-swala la ndege wamewaachia wakenya wadominate east africa na kwingineko-
viongozi wetu walivyo vipofu sijui lini wataleta ndege mpya
sijui viongozi wa ccm watumia akili gan kufikiria,sijaona umuhimu wa kuwajaza wazenji kwenye swala la katiba kabsa-yaani kifupi jionsi walivyochangua tu wameshaniboa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.