Nimekuwa Nikifuatilia sana Media hasa redio na Televisheni hasa mijadala yake na namna wanavyowasaidia wananchi na watu wengine walioamua kuwasaidia. Natafakari sana ni chombo gani kwa sasa kinafanya critical analysis kuhusu masuala yanayoendelea. Hata Hizi Redia kubwa kama Radio Free Afrika na...
Nimekuwa mfuatiliaji wa vipindi vya redio kila napoamka Majira ya SAA 11 kwenda kazini nimejaribu kusikiliza RFA, Clouds na Radio One nadhani RFA kidogo wanajitahidi kufanyia mambo fulani ya maana alfajiri ila matangazo yao ya CCM ndio yanakera.
Je, wanajamvi ni radio gani inatii kiu ya...
Tatizo wabongo mmezoea kuropoka tu uchumi wa Uingereza ndiyo unaendesha BBC... Watangazaji wa redio hizo wanalipwa vyema kabisa.... Uchumi wa German unaendesha Deutch Welle..... Jiulize uchumi wa Tz unaendesha TBc je kuna nini huko????? Sio sahihi kuchanganya mambo haya..... Kwa upande wa redio...
Hii ni picha ya Tanzania ijayo maana wageni wanahonga uhamiaji na wanalindwa baada ya miaka kama 20 wajukuu na watoto wetu watakuwa wanalambwa makofi hadharani..tuamke ikiwezekana tuchunguze namna wageni wanavyopata kiburi hata cha kujiamlia mambo yao washenzi sana hawa sijui wameiweka serikali...
Who is Zitto Kabwe hadi watu waache kufanya kazi Zitto Zitto Chadema chadema chadema...2015 hakuna chama hapo mtakuja kusema matokeo yake, CDM WANGEKUWA WAUNGWANA WANGEKULA BUYU KAMA WALIVYOFANYA KWA SHIBUDA SHIBUDA SAIVI POTEA KWENYE RAMANI.......
Mungu ndiye muweza, Hukumu na Hekima na Amani vyote anavyo yeye .... Aliyeua kwa upanga atakufa kwa Upanga yanasema Maandiko. Mungu awalaze mahala pema peponi Amen. TUSIHUKUMU TUSIJEHUKUMIWA!
Hata wanafiki hupenda kuhudhuria misiba, japo ni ngumu kuwatambua. Jambo la msingi watu makini ni kuchukua maamuzi magumu ambayo wote watakuheshimu, wengi wanamcheze "RAIS WETU MSIKIVU" Sharubu. Eti kwakuwa ni msikivu.
Nilipita jf na kuona wadau Jf mlivopata hasira kuhusu bunge leo kupigwa kapuni, sasa nampata Pinda Live TBC RADIO anafunguka na mwana wa mkulima kwa nia njema anasema epusha siasa ktk suala la Arusha
Kwa wafuatiliaji wazuri wa Magazeti watakuwa wanajua kuwa wasomaji kama Dennis hawana upendleo, tatizo la wana CDM wanapenda kujihami. . .unaposema leo msomaji TZ DAIMA kalisoma michezo inaonyesha ulivo propagandist, hakuwa na hilo gazeti leo, na wala halijasomwa. .jamaa huwa anapitia kwa...
Mwanakidagu, Tambua kuwa wasomaji wa magazeti ni professionals......and wanajua wanachokifanya, usilazimishe wasome kile unachotaka wewe, they impact our world...hakuna habari iliyorukwa unless hukusikiliza tangu mwanzo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.