NAUZA LAPTOP DELL INSPIRON N 5010
Processor: intel(R) Core (TM) i3 CPU @ 2.40 GHz 2.40 GHz
Ram: 6 GB
System type: 64 bit OS, x64-based processor
Storage: 300Gb
Plus: charger, healthy battery, mouse
Bei maelewano, ni pm
Conditions: in good shape and working conditions
Physical damage...
Processor: intel(R) Core (TM) i3 CPU @ 2.40 GHz 2.40 GHz
Ram: 6 GB
System type: 64 bit OS, x64-based processor
Storage: 300Gb
Plus: charger, healthy battery, mouse
Bei 550000/= tsh
Conditions: in good shape and working conditions
Physical damage: scratches kidogo
Mwenye kuihitaji ani PM...
Vumbi ikizidi sana kwenye laptop husababisha kuzima au kushindwa kuwaka kabisa, jaribu kuifanyia maintance kwa kuifungua na uisafishe kwa brush mashine yote hasa kwenye feni.
Wakati mwingine kuzima gafla husabishwa na over heating ya processor kama inashindwa kupozwa na feni au kuisha kwa zinc...
Vumbi ikizidi sana kwenye laptop husababisha kuzima au kushindwa kuwaka kabisa, jaribu kuifanyia maintance kwa kuifungua na uisafishe kwa brush mashine yote hasa kwenye feni.
Wakati mwingine kuzima gafla husabishwa na over heating ya processor kama inashindwa kupozwa na feni au kuisha kwa zinc...
Tangia kuanzishwa kwa kampuni hii ya VIETTEL TANZANIA LTD kumekuwa na ongezeko kubwa sana ya raia wa VIETTNAM hapa Tanzania, Je serikali hailioni hili? Je uhamiaji hawalioni hilo? Imekuwa kero kibwa sana kwani hawa watu ni wengi mno na wanafanya uwekezaji duni kwa kuwanyia fursa watanzania...
Ndugu zangu naombeni msaada kutoka kwa yeyeto mwenye kufamu juu ya hli,modem yangu nikiiplug tu kwenye mashine ina soma na sim inserted or niweka ambayo sio ya airtel. Sasa tatizo hli limeninyima internet wiki 2 sasa, sijui cha kufanya. Mbaya zaidi hata nikiiplug bila sim bado iitaleta ujumbe...
baada ya rais kuteua baraza jipya la mawaziri je waziri mkuu naye atabadilishwa? Maana yeye ndo shina hasa kwa kushindwa kusimamia mawaziri wengine. Naombeni ufafanuzi jamani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.