Kwa JPJM kwa waosemwa hao ndiyo anaowataka, maana anajua hayo ndiyo majembe yake, rejea Hotuba ya Mhe. RAIS Kinyerezi wakati wa uzinduzi wa BOMBA la Mafuta kuhusu Prof Mhongo na Makonda. Wavivu wote suala la majungu halina nafasi kwa Ngosha pigeni kazi kwa ueledi, fanya kazi bila ya kutegemea...
Dah! Utumishi wa Umma umbea ni mtaji! Ila nilichoona Mwandishi ni mjinga sana maanatuhuma zake zinajichanganya! Au Ana wivu wa kike!
Ninachoona mti wenye matunda ndiyo unaorushiwa mame, inaonekana huyu dada ni jembe! Uzuri Awamu hii haiangalii uzushi bali facts, rejea Hotuba ya Mhe. JPJM...
Asante sana wakwetu, inabidi tusimame kwa pamoja ili Mkoa wetu uondokane NA hii aibu, Kweli Tabora ya mwisho mtihani darasa la Saba? Tuwaambie wabunge wetu hili halikubaliki kabisa, NA tuwape malengo ya kufikiwa kabla ya 2020, NA hiki ndicho kiwe kipimo chair kwetu kwa utendaji wao kwa wananchi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.