Search results

  1. B

    Mabadaliko kwa Mitihani kidato cha NNE na SITA.

    kuna mantiki gani hapo?kwani mda huu unamadhara gani na maandalizi ya watahiniwa au inaathiri vipi maendeleo ya elimu hapa nchini? Msaada tafadhali mtoa maada.
  2. B

    Ikulu kumjibu Lema...

    Miongoni mwa watu wanaotakiwa kuondoka great thinkers wee ni kwanza. Ni mvivu jufikiria kama cjui nini,in short you dont deserve dat title. You dont read books you cant increase your knowledge,you dont even know even about revolution, kukusaidia tu: wanaharakati wako hivyo, au nao huwajui?
  3. B

    Chadema mnaelewa kuwa CCM haina papara?

    hujui kitu kuhusu legitimacy decline ndio maana unatumia historia bila kuona prevailing condition,be keen look inside the container, do u think diesel and korie are exactly the same?
  4. B

    Hela za matibabu ya Sajuki zaibiwa

    ninavojua mimi mama sajuki anatumia m.pesa kukusanya mchango wa msaada wa matibabu ya mumewe, na vodacom wanataarifa zote kuhusu ni nani kahamishiwa kias gani lini na alitumia mnara gani, taarifa wanazo vingnevyo wawajibishwe kwa ufisadi wa msaada wa pesa za matbabu. Wasitake kuleta uzembe usio...
  5. B

    Napendekeza dr magufuri awe pm wetu mpya kama una kubaliana na mim vote na like hapa

    jembe yuko poa kwa wenye mcmamo wa kimapinduzi,jamaa hawezi kuficha uchafu hata kidogo.mnaomuona mwongo sio yeye ni mfumo wa serikali ndo unaomkwamisha,ila yeye ni jembe ukilinganisha na pindwa.
  6. B

    Baraza kuu ccm lashinikiza kikwete avunje baraza la mawaziri

    safi sana tena waambiwe kabisa kuwa watatakiwa kurejesha mali walizoiba wakiwa madarakani.
  7. B

    Mkapa kusema hajui kwanini tanzania haijanufaika na ubinafsishaji, ana maana gani?

    jana katika kongamano la kigoda cha mwalimu nyerere lilifanyika ktk ukumbi wa nkurumah uliopo hapa chuo kikuu cha taifa_udsm_kwa masikio yangu mwenyewe nimemckia akiwauliza wajumbe eti naye hajui kwanini nchi hainufaiki na mpango aliouasisi yeye wa kubinafsisha sekta mbalimbali hapa nchn,"swali...
  8. B

    Halima Mdee amtafutia Lulu wakili

    Miongoni mwa misingi ya utawala wa kisheria ni hiyo HAKI YA KUSIKILIZA NA MAHAKAMA NA KUPATA AU KUTOA UTETEZI KWA KILA RAIA,by A.V. Dicey an english jurist.Mdee yuko sahh kabisaaaaa
  9. B

    Lissu ni lazima ujibu tuhuma-mahakama

    hivi hakuna kikomo cha kumuwekea mtu pingamizi la ushndi wa ubunge kinachofafanuliwa kisheria? Huku ni kukwamisha shughuli za maendeleo mtu anaweza kufungua kesi hata bada ya miaka 4 kupinga ubunge wa mbunge. This is shameful of the lawyers!
  10. B

    Kwa CV hii kuna pointi kweli huko Arumeru

    Daa! Sasa nimeelewa kwamba kila mtu aliumbwa na uwezo wake wa kufikiria,Kuna mchangiaji kanifanya niamini hvyo yule alisema kuwa vicent atafunguliwa kesi na magamba eti kwa kusema mkapa alimuua nyerere na vp yeye aliyesema vicent sio mtoto wa baba yake anayemjua vicent na madaraka kukanusha...
  11. B

    Watanzania msiipigie kura CHADEMA 2015

    Ng'wana unautapiamlo wa mawazo sio bure! Na nina imani kuwa wewe sio mtanzania ndio maana umekurupuka kubadili mapungufu kuwa mafanikio. Lakini labda ngumbalo ndio maana unadumisha mawazo ya mwenyekiti lkn hata kingunge hana fikra hzo cku hizi naye anajitahd kuona mbali kwa upepo wa kisasa. Take...
  12. B

    Chadema tegemeo letu, serikali yako kivuli inarudisha nyuma mageuzi to 2015,

    you are right mkuu but tatizo ni hawa magamba waliolewa madaraka wakickia kidogo tu kuwa waziri kivuli ameshauri kitu utasikia wanataka nchi isitawalike,oo cdm wanawachochea wananchi kuandamana au kugoma ndio yanayokwamisha ushirika wao ktk serikali hii ya magamba.Pia wakubwa wa magamba...
  13. B

    Wazee na madiwani Kyela kuunda tume kumuona rais juu ya ugonjwa wa Mwakyembe

    Katika hali isiyo ya kawaida leo wananchi wa wilaya ya kyela wamekutana maeneo ya viwanja vya siasa kyela mjini kujadili hatma ya jimbo lao pamoja na afya ya mbunge wao Dr.H.Mwakyembe, ambaye afya yake bado si shwari. Wananchi hao wamejadili kuwepo haja ya kufanya safari ya kwenda kumjulia hali...
  14. B

    Boom, boom, boom!

    wasitoe timetable bla kuingiza pesa ya food &accomodation.hakuna maisha dar bila hela.
  15. B

    Sura ipi inayotisha hapa?

    Wasira ndo nomaa!
  16. B

    MICHUZI ANAWABEZA WASOMI; Hivi anajua kweli anachoandika????

    katoa mawazo ya kuiga huyo michuzi.
  17. B

    Dk Bilal azomewa Mbeya; Wananchi wagoma kumsikiliza na kutaka mbunge wao aongee!

    Mlugo wewe ni mtoto kisiasa.Acha wakubwa wajadili mambo ya siasa.umeona ulivyoenda OP.
  18. B

    Chadema inapendwa balaa!

    kazi ni moja tu:UKOMBOZI WA WENYE MAWAZO FINYU KAMA mama polojo na wenzake.tunajua ni ngumu lkn ni wito na tumeitikia.
  19. B

    Misamiati maarufu vyuo vikuu

    madesa=material za kujisomea(udsm)ngedele wa chuo=wanafunzi wa kolegi ya coet ud
Back
Top Bottom