Tukio la Kihistoria la kupatwa kwa jua kutokea Tanzania Septemba Mosi.
Akitoa taarifa hiyo Mhadhiri wa fizikia na mtaalamu wa Sonomia katika kitivo cha sayansi chuo kikuu huria cha Tanzania Dkt. Noorali Jiwaji amesema kuwa kwa mara ya mwisho tukio kama hilo lilitokea nchini Tanzania mwaka 1977...
Problem is with network.. not the phone.. dial 100 mpaka upate customer care.. I had same problem with my S5.. hasa kama ulibadilisha chip from another phone.. don't panic.. further info 0784387396
Hata School Leaving Certificate anakataa kutoa! Two choices for me, 1) fight with the sword, OR 2) with the pen. Do u guys think I should write a letter to Ilala DEO with copy to Wazari wa Elimu, making a formal complaint? Plz advise
Hawa watoto wanne, walikuwa "cream of ther class". Na HM anataka waendelee kwenye shule yake ambayo ina stream 1 tu( watoto 16). Shabaan ina stream 5! Bonge ya competetion! Hata school leaving certificate amekataa kutoa!
Hi guys, I m new here n wish u all Jamaa a Prosperous New Year. What is website to download Necta std7 results for 2011? My daughter's primary headmaster anaona uchungu kutoa matokeo kwa sababu amejiunga na Shabaan R Second, na wenzie wata3
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.