Wane jamii forum naomba mnisaidie kuna mitaala gani ambayo imeshabadilishwa ya somo la hisabati zaidi ya ile ya mwaka 1995 na 2005,maana watu wengi wamekuwa wanapotosha jamii kwa kueleza jamii kwamba mitaala imekuwa inabadilishwa mara kwa mara pia kuna watu ambao wamefanya tafiti hizo na...
Simnaona wanavyokula fegha za maendeleo halafu wanasema kasungura kadogo cag kawaumbua haooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo mwisho wenu 2015 hamna maana kabisa nyinyi,hosptali hazina dawa wanafunzi wanakaa chini,nyinyi mnafanya sherehe za nanenane,miaka hamsini ya uhuru,hao...
Kero kwa waalimu wannao fundisha shule za serikali za Bording school wanalazimika kulala mpaka saa nne usiku huku wakiwa hawalipwi kitu chochote tunaomba waanze kulipwa over time.
wana chadema wenzangu naomba mnifahamishe joshua wa arumeru amepatikana vipi kwani si amehamia toka ccm wiki iliyopita,na akapitishwa kuwa mgombea wa chadema arumeru,hatuoni hili litaleta kutokuaminiana na wanachama wa muda mrufu,pia hili .linaweza kuingiza wanachama mamluki bungeni?
kwa kuchukulia hatua ghidi ya walimu ambao hawahudhuriii madarasani,hebu angalia ni nani asiye jua maisha ya mwalimu yakoje kiuchumi,nani asiyejua hao viongozi wetu wanabiashara gani pia wanamiliki nini, kwa sasa hakuna mfanyakazi kamili kwenye dunia hii,nyinyi wenzangu angalieni wakati wa...
Kwa sisi walimu inaonekana kwamba ndio daraja la kunyonya zaidi hivyo inahitajika hali ya ziada kukomesha hilo,si mnaona madaktari umoja wao.mimi niliajiriwa 2008 mpaka leo sizijui posho ya kujikimu,na mishahara ya mwezi machi 2008, april 2008, nini nimedai mpaka nimechoka pesa niliyo tumia...
kwa m2 makini kama anafikiri mbali zaidi kuliko viongozi we2 kwa nini kigamboni ikumbukwe leo?mgeni atoka marekani kuangalia saloon za kike pale magomeni kunanini?,kwanini wenyeji wa kigamboni waondolewe?,kwa nini leo tukadai kuongezewa mpaka baharini?ha2kuliona hilo hapo nyuma?je 2nafikiri...
kero yangu ni kuona kwamba serikali yetu ipo karne ya 21 lakini wananchi wanaoindesha hiyo serikali wapo karne ya 18 je ndu ze2 viongozi hamoni kwamba 2najichimbia kaburi wenyewe?,maana itafika wakati hao wananchi watakuwa wamechoka na huo uthalimu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.