Kweli waliosemaga kuna kuwaza kwa makalio hawakukosea sana, tatizo halitafutiwi ufumbuzi unaongelea mambo ya kumtafuta mchochezi ina maana hao wananchi wa Mtwara hawana akili wao, jiheshimu bana.
na huo ndio ukweli ulioko wazi hii siyo Tanzania ya kushurtishwa tena kufanya mambo, kama gesi ikaja huku Dar itasambazwa nchi nzima hata ikiwa kule pia inaweza ikasambazwa bila shida pia, mazungumzo ni lazima na heshima kwa wananchi pia ni muhimu, nguvu na mabavu yamepitwa na wakati.
For sure,sasa mambo yanaenda yakijieleza yenyewe hatuhitaji tena kuanza kujiuliza mchawi ni nani TINDU LISU alishayaweka haya yote bayana. . . . . . . . . . . .Ifike maali tuanze kujiuliza nini dawa ya haya yote? Tukisema katiba hata hiyo katiba yenyewe inaandaliwa kiujanja ujanja. . .najuta...
Nauka mkono ushauri wako,na hata wanachama wa cdm kukubali kuwavua magamba wana ccm si kwamba tunawaamini sana na kama lengo lao ni kuja kukituhumu chama itakua ngumu sana,na kwa tahadhari tuu nao wakae kabisaa wakijua kwamba hatuwaamini na pengine hatuwapendi na wasije wakaijaribu cdm,Mungu ni...
Sishangai sana,sipendezwi wala sijachukizwa na maneno ya kijana wangu Mwenye uwezo mkubwa katika siasa kutoa tamko kama hilo,mawazo yake yanaendana kabisa na watu anaowaongoza,yeye si mbunge wa Tanzania bali Arumeru,Arusha na kanda nzima ya Kaskazini imedhihakiwa na kufanyiwa vitendo vya aibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.