Page no 97 inajibu hoja yako. PAC wametoa mapendekezo ya kurudishwa hela zote kwa wale waliochukua. Hakuna aliyeachwa mana wamesema fedha zote ni za umma.
Wakati akihitimisha hoja yake kijana Zitto amewaomba wabunge 70 tu wasaini ili wamtimue mzee Pinda.
Sasa tutaona hawa magamba km watasaini au wataendelea na mtindo wao wa kupiga kelele.
Asante kiongozi,jamani watanzania tuamke sasa,tufanye maamuzi magumu kuinusuru nchi hii katika mikono ya wany'ang'anyi. Tujieleze kwa nn tuna rasilimali za kila aina lakini bado ni masikini? Viongozi wetu wanauimba wimbo wa umasikini lakini wao hawachezi step za wimbo huo,maisha yao na familia...
Acheni tabia ya kuvuta bangi wakati. Taifa hili lina matatizo mengi ya msingi mnaacha kujadili hayo mnatuletea hapa ushabiki wa vyama usio na maana yoyote. Mtuachie forum mwende mkaendeleze uchafu wenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.