Tukiwa tunaelekea kwenda kumaliza mwaka wa fedha wa 2023/24 .Walimu wa Tanzania shule za msingi na Sekondari hawajalipwa fedha za Likizo ya mwezi DISEMBA 2023 imekua ni kuwaida serikali kuwalipa walimu fedha za likizo kwa namna inavyojisikia sio kwa mujibu wa sheria ,kanuni na taratibu..
Imekua...
Waziri wa Fedha pamoja na wasaidizi wako nataka niwashauri kuhusu kodi ya plate number binafsi [Majina kwenye plate Namba] za vyombo vya moto (Magari) kama tunataka kuongeza mapato huduma hiyo iwe na watumiaji wengi
Ishuke iwe kwa mwezi, serikali iweke Tsh laki moja kwa mwezi [100,000] itapata...
Hii mifumo (ni miradi ya ulaji wa fedha za Umma tu) haieletwi kwa ajili kutatua changamoto au kuongeza ufanisi, walileta mfumo wa Madenis haukua na chochote, kina kipindi Utumishi walileta mfumo wa watumishi Porto 2017 kwa ajili ya Uhamisho, haukufanya chochote
Ni ukweli fedha wanagawana ,kwanini msajili aliwapa Notisi tarehe 29,kwanini hawafuatii utaratibu katika matumizi ya fedha zao kuanzia ngazi ya wilaya hawana Katibu wala mwekahazina kuna mtu anaeitwa Katibu msaidizi ambae wanadai ni Mwenyekiti...tuambie utaratibu wa katiba na kanuni zetu katika...
Chama cha Kulinda na Kutetea Haki za Walimu Tanzania (CHAKUHAWATA) wanao jiita viongozi wanawagana Tsh Milion 400 za walimu ambazo wametoa ada kwa chama iko.
Chama icho kimeweka ada ya Tsh. 5,000 kwa Wanachama..
Ngazi ya Wilaya wanaweka wakala (anaejiita Mwenyekiti au Katibu msaidizi) yeye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.