Congrats Mkuu...Pamoja daima
Naamini hii ni kati changamoto nzito ulizowahi kushinda katika maisha yako.
Na kwa ushindii huu hakika umekupa ujasiri wa kutosha kushinda changamoto za mbeleni
Hakika Wewe ni Jemedari Mahiri
Mpo wachache sana Tanzania.
Wengi tumeishia kuwa wanafiki tusiopenda...
In my opinion sijaona ubaya wa huyu bwana mbowe kuhudhuria ile dhifa...
Inaweza ikawa imeleta ukakasi machoni pa baadhi ya watu,km hapa mzee mwanakijiji...
Lakini ni ukweli usiopingika kuwa Obama/US ni strongest partner in the world ni gharama kujenga nae uadui kuliko kuwa karibu naye..
Kuna...
Ifakara apart from the benefits mentioned already its a place with full of opportunities in entrepreneurship if ur interested ofkoz kilimo hapo kinalipa sana coz bado ifakara ni virgin land Kuna wasukuma hapo wanamijihela ya kilimo go and do thorough exploration of opportunities vizuri ujasiri...
Unajua usifikiri kila mtu anafikiri kama wewe lazima ulitambue hili kwanza wakati unaandika na si ku generalize mambo pasi na sababu za msingi
UNAFIKIRI KAMA ANGEKUWA NA TAMAA KAMA ZENU NYIE WENGI CHEAP BEING YALIYOMPATA YANGEMKUTA?
KWA FIKRA ZANGU FUPI SUALA LA KUPEWA PESA LILIPITA KITAMBO...
ofkoz ur not being analytical so try to be Dude
Either you dont know the whole concept for the Strike that's one thing "you may argue whatever way on favor most likely but it meant to save the oppressed Tanzanians against the barbaric regime (are you part of the regime?)
Improvement of the...
Go back to ur constitutional copy if u have any
The gov is responsible for providing health services to her citizen and not otherwise...
Doctors are just employees as any other employees ....
Try to think big and do some analysis before you post in here.....
i concur with you mtoa maada kuna maelezo yalitolewa awali nita ya paste hapa jamvini
Jamani matibabu kweli ni kitu endelevu hivyo michango yenu ni muhimu sana wanajamvi
Tumsaidie mwanaharakati wa kweli aliyenusurika kutolewa uhai wake na hili Genge la majambazi linaloongozwa na JANGA LA...
AnGALIA hIZI NI HISIA ZA GREAT THINKER MMOJA....
Mimi nina SHAKA na TAARIFA MCHANGANYIKO JUU YA HALI YA COMRADE ULI, upande mmoja tunaambiwa yuko mahututi (UNCLEAR SOURCE), upande wa pili tunaambiwa anaendelea vizuri (DOCTORS). Who is the OTHER (UNCLEAR) SOURCE? To me, i am starting to smell...
mtoa maada unajaribu kkubrain wash watuu
Maswali kwako
Hivi kwa mtaamo wako unafikiri tangu mgomo uanze serikali haijajaribu kuuzima kwa kuwaweka vizuri viongozi wa mgomo?
Na kama ilijaribu vipi walifanikiwa au walishindwa?
then hatua ya kumteka mtu na kumuua kujaribu kumzika akiwa hai etc...
Mpotoshaji wewe au aliyeanzisha uzi huuu?, Ofkoz hata aliyeanzisha uzi huu hajaweka vizuri statement zake mie nimekuwapo Muhimbili na MOI leo
Mosi,Watu hawajaanza kufanya kazi jana maigizo yamefanyika ili zipatikane picha za kuonesha kwenye TV
Pili,Kwa wenye kufikiri lakini...
wewe wa ajabu sana eti mnabagua kada zingine hizo kada zingine
kwanza ishu si madai ya madr tu kama ambavyo wengine mnapostosha kwa makusudi madokta wamechoka kubong'oa wakimwangalia mgonjwa aliyelala chini, ukosefu wa vifaa tiba muhimu, madawa,UCHAFU mahospitalini nk
kwani hiii inashusha...
CCM-MAMA
Ndgugu asante sana lakini kwa hili kweli kabisa wananchi wamepoteza kabisa imani na serikali na kama hawa wahalifu hawatashughulikiwa ipaswavyo kwa mujibu wa sheria Basi sasa yale maneno ya Baba wa taifa kuwa Ikulu imegeuzwa kuwa pango la wanyangányi sasa watanzania ndio tutaelewa...
Mandingo mgomo uko pale pale na serikali imevibana vyombo vyote vya habari ili kuudanganya umma kama huamini njoo muhimbili au ujionee mwenyewe kwa macho yako jana jamaa wanajifurahisha hadi wana muattack kiongozi wa maspecialist kuwa eti yupo na anafanya kazi wameishiwa
Ila sasa wanaongeza...
Ha ha h ah ah ah ah ah Nyie ni ma
jamabzai na siku zenu zinahesabika mtaua sana lakinia hamtatumaliza watu wote wenye nia safi na Ndio maana Mwenyezi Mungu alimfufua Dr Ulimboka kutoka kwa wafu kwa malengo yake he has a mission to accomplish
Siachi kuiita hii serikali kuwa ni dhalimu hapa...
Ndo manake wakaamua kumuua lakini siku ya tatu akafufuka kawaumbua hata wakimmalizia huko aliko wajue kamwe hawa serikali dhalimu tinatengeneza orodha zao na familia zao hadi vilembwe kwami uchifu, ukoloni lazima tuukomeshe kwa kuvitambua vyema hivi vizazi vyao dhalimu
Nyi wote mnaupungufu wa akili mwilini hatuwezi kuwasaidia dr ulimboka ni mtanzania na anatoa huduma tanzania hivi nyie hamjiulizi kwa nini madr wa hospitali za dini nao wamegoma mfano KCMC na BUgando unang'ang'ania Ulimboka ...Ulimboka nyirikisheni walau bongo zenu kidogo mbona hamchoki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.