Mtu mpumbavu hawezi kujitambua maana ile sehemu yake ya ubongo iwezayo kumfanya apambanue mambo ndipo upumbavu umesheheni pale. Sasa mtu kama huyo tumsaidieje? Unafiki wa kujipendekeza ni utumwa wa fikra
Kama muungano uko matatan wazenji wote wenye hatam bara wajikane ili tuone nin cha kufanya make wao hata hawaon uchungu wa maendeleo duni. Mfanowe ni mawaziri wa .,.na....? Washikaji inaeleweka.
Msemayo sawa lakin tatizo kubwa ni sisi watanzania. Kwanini tunaendelea kukumbatia maozo pindi za chaguzi kuu? Au mwataka nani awachagulie kiongozi wa kutetea masilahi yenu?.Yanini kuchagua msosi uliochacha wakati kuna chakula kizuri kwa pembeni?Kukosa uelewa kwa Watanzania kutatufanya tuwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.