Search results

  1. N

    Kutoka CUF Buguruni: Kikao na waandishi chaahirishwa, Lipumba akanusha fununu za kujiuzulu

    Manyerere wewe huijui CUF acha hoja za kitoto aliyekwambia Lipumba hana Athari ni nani?Tumia akili ulizopewa kutafakari je ule umati uliokuwa pale Buguruni hauna athari?
  2. N

    CHADEMA kina wanachama wangapi?

    Tuache ushabiki hoja hii ni nzito sana na ina ukweli ndani yake.vyama vya upinzani vinatakiwa kuweka wazi vina wanachama wangapi na mtandao ukoje kuanzia mashina,matawi,kata,jimbo,wilaya,mkoa na Taifa.Chadema haina mtandao wa kutosha Vijijini je itachukuaje dola?ni nani atalinda kura zisiibiwe ?
  3. N

    Kama Slaa, Migiro, Salim, Lowassa, Shein hawafai kuwa Rais; nani atatufaa 2015?

    Tumpe kura Prof Lipumba aongoze Tanzania hana mpinzani.lowasa kashfa Richmond,Slaa kashfa kuchukua wake za watu,kuzini na Rose Kamili bila ndoa wakati ni Padri
  4. N

    Top 5 ya urais 2015

    Tusidanganyane kama kweli tunataka tupate Rais bora anayefaa ni Prof Lipumba ili ajenge Uchumi utakaotoa ajira na kuleta Neema kwa Watanzania wote.Tumpe kura Prof Lipumba aongoze Tanzania
  5. N

    Uonavyo: Kati ya prof LIPUMBA na Dr SLAA ni nani zaidi?

    Tunafanya makosa makubwa kuwalinganisha watu hawa,tukisema ukweli watu watachukia.hivi unaweza kumlinganisha Prof Lipumba na Dr Slaa? Ktk eneo lipi hasa? Kielimu lipumba yupo juu,uwezo wa kujenga hoja lipumba yupo juu; hatuwezi kufananisha mchanga na jiwe.lipumba ni jiwe walilolikataa waashi na...
  6. N

    PICHA: Mapokezi ya Prof Lipumba; Afande sele atumbuiza

    kwa kweli Watu ni wengi mno na haijawai kutokea.Tusubiri je DR Silaa akirudi toka ITALY atapata watu wengi kama hawa? Tutake tusitake PROF LIPUMBA anakubalika mwaka 2015 itakuwa kazi kubwa sana.TUNAKUTAKIA AFYA NJEMA PROF LIPUMBA UTUKOMBOE WATANZANIA 2015.
  7. N

    Watanzania wekeni uzalendo mbele tarehe 11/03/2011 mkampokee Prof Lipumba

    Tuchangie hoja kama waelewa wa mambo.ni nani asiyejua umuhimu wa Prof Lipumba ktk Taifa hili?Tuache hoja za kanisa,msikiti na ubaguzi wa kisiasa,kama Prof Lipumba ni Mtu muhimu kwa uchumi wa nchi yetu utakaotoa ajira na neema kwa wote tumtumie ili atusaidie.Tuache chuki,majungu na fatina ktk...
  8. N

    Mliotamani chama kipya, jiungeni na ADC!

    Tuache ubishi usiokuwa wa maana tunatakiwa kurejea historia ya vyama vya upinzani Tanzania.Baada ya kuanzishwa mfumo wa vyama vingi vya siasa mwaka 1992 na hatimaye kufanyika kwa uchaguzi ulioshirikisha vyama vingi 1995 ni chama cha NCCR MAGEUZI kilichokua chama kikuu cha upinzani kwa kupata...
  9. N

    Watanzania wekeni uzalendo mbele tarehe 11/03/2011 mkampokee Prof Lipumba

    Tuache ushabiki wa kisiasa Prof Lipumba ni kichwa cha Uchumi Tanzania tunashindwa kumtumia. Umoja wa Mataifa wanamtumia Kuboresha Uchumi wa Nchi kubwa Duniani wakati Tanzania ni Maskini na Uchumi wetu ni Duni. Ipo haja ya kuweka mjadala wa Kitaifa kwa...
  10. N

    Picha;CUF ndani ya Bunda mji wazizima,Wasira presha juu

    Kwani hujui alipo lipumba? Ni mwenyekiti kamati ya uchumi ya umoja wa mataifa yupo marekani anashughulikia uchumi wa dunia.tarehe 11/03/2012 atapokewa na paul kagame,odinga,mwai kibaki,museveni,jk kikwete na watanzania wote kwa ujumla kwa kuipa heshima afrika kuongoza maprofesa 20 wa kizungu...
  11. N

    Waliojiondoa CUF waanzisha chama kipya ADC

    Kwa wazoevu wa mambo ya kisiasa tunajua kua ADC kitatingisha nchi kwani viongozi waandamizi wa chadema,ccm,Nccr,Cuf watahamia huko.
  12. N

    Dkt. Mwakyembe aandika waraka wa siri!

    Sita na mwakyembe wanatofautiana.Sita anasema amelishwa sumu,Mwakyembe anasema sumu imeingia kupitia ktk ngozi yake.Je wana JF tuamini lipi?
  13. N

    Taarifa kwa Umma Kuhusu Mgomo wa Madaktari - CHADEMA

    Wewe mtoto mnyika kila mara nakuonya kukimbilia hoja ambazo zinagusa maisha ya watu.umefanya fitina za kumtoa tumbo hapo uenezi unashindwa kuleta fikra mpya unadandia hoja za watu.Damu za watanzania zinazomwagika tutazidai mikononi mwako kwa kuchochea mauaji ya watu wasio na hatia,kwanini chama...
  14. N

    Pinda ashindwa kupelekea madaktari wanajeshi ktk hospitali za DSM

    Acheni kushabikia ubumbavu.tunatakiwa kuwa wazalendo kwa suala nyeti kama hili tuwasii madaktari kurudi kazini ili kuokoa maisha ya ndugu zeti.tuache ushabiki wa kisiasa unaliangamiza Taifa.
  15. N

    Mbowe na Slaa kutikisa Zanzibar kesho

    Acheni kujidanganya Chadema haiwezi kupata maelfu ya wanachama Zanzibar,Kwani hujui mtaji wa Chadema ni upi?ni Kanisa Katoliki ambao Zanzibar wapo asilimia 1 % ya Wanzanzibar wote.Mnatakiwa kufanya uchambuzi wa kina mnapoingia katika siasa sio ushabiki! ina maana hujui kuwa maeneo ambayo Chadema...
  16. N

    Kuhusu mgomo wa madaktari: John Mnyika

    Huna lolote wewe kijana usiingize siasa ktk uhai wa watu,Serikali inashughulikia matatizo ya madaktari kwani ni mazito na yanahitaji upembuzi yakinifu.mbona mnajitia kimbelembele ktk mambo ya watu baada ya kuimarisha chama chenu kiwe cha Kitaifa kwa kupata wawakilishi Tanzania Zanzibar.jengeni...
  17. N

    Undani wa Freeman Mbowe na Dr Wilbroad Slaa

    Acha kujidanganya hakuna lolote walilofanya hao wahuni uliowasifu.wameshindwa kueneza chama chao kwa kutumia hoja huko vijijini na mijini,tumeshuhudia ktk chaguzi ndogo wakitumia pesa nyingi kununua wapiga kura kwa kuwapa madebe ya pombe,siwaonei haya hata kidogo ni mafisadi tu Mbowe na Silaa...
  18. N

    CHADEMA yajipanga kushinda uchaguzi Uzini na si kushiriki

    Chadema haiwezi kushinda Zanzibar kwani sio Chama cha Kitaifa,vyama vya kitaifa vinajulikana ni CUF na CCM kwani vina Wabunge na Wawakilishi pande zote mbili TZ BARA na TZ ZANZIBAR.kama msajili wa vyama vya Siasa angekuwa makini angeifuta CHADEMA kwani si chama cha Kitaifa.
  19. N

    Ali Mbarouk Mshimba mgombea wa CHADEMA Jimbo la Uzini Zanzibar

    Chadema sio chama cha Kitaifa hawawezi kushinda Zanzibar,Vyama vya kitaifa vinajulikana ni CCM NA CUF kwani vina Wabunge na Wawakilishi pande zote mbili TZ Zanzibar na TZ Bara.
  20. N

    Kikwete akutana na uongozi wa CHADEMA Ikulu; Dr. Slaa ndani

    Hongera JK kwa kuanza kuiua Chadema,walikuwa wameutangazia Umma kuwa hawakutambui sasa wanajipendekeza kwako kufuata chai ya ikulu.Nilijua tu wataingia ktk mtego wako wa kuwasambaratisha kwani uwezo wao wa kufikiri ni mdogo sana.CCM ni Chama imara chenye mizizi TZ Bara na TZ Zanzibar lakini hao...
Back
Top Bottom