yeah ni kweli i have evidence on that kuna vacancies zilitangazwa zilikuwa kama hamsini hivi watu waliofanya application walikuwa ni zaidi ya elfu tano so if your cv has more than 3 pages make hardtime kwa yule anaeipitia, he or she will be bored
nilimsikia mwanasaikoljia mmoja anasema kuwa the way wanawake wanavyokuwa wanaenda day kila mwezi hii huwa inawasababisha kuwa na hasira unaweza kumkuta kanuna au kususa bila sababu, hivyo ni maumbile yanachangia.
sehemu yoyote yenye majungu na bifu zisizokuwa za msingi huwa inamatatizo sana, watu wa tbr ni wavivu hawapendi kujituma pia hata viongozi wenyewe kwa wenyewe wanagombana i.e mps. tufanye kazi tuwe tunawivu wa maendeleo maendeleo yatakuja tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.