huyu Mwalimu Wangu tangu amekalia hicho kiti na Akili imehama kabisa mungu amsaidie kwa kweli, Mkate wa Kila siku unapokuwa unapatikana bila taabu hata akili huwa inagoma kufikiri, huyu kwenye midahalo pale Nkuruma ndio alikuwa anazungumzia haya mambo ya Demokrasia, Haki na Tume huru leo gafla...
hawa wachaga mtawalaumu bure ila kimsingi wako mbali sana na lazima tuwatumie kufika mahali kama taifa, hawaepukiki unless uwe ni mtu usiyekuwa na malengo tu ndio utawalaumu, nusu ya wanafunzi waliopo shule za uchagani sio wachaga, hii inammaanisha nini? huku maofisini hawajajipeleka wao bali...
huyu ni waziri Mkuu Mstaafu na ana ofisi na Katibu wake ambaye pia analipwa na serikali so kutumia Nembo ya Serikali kwake ni sahihi kabisa. wanaojua itifaki watatuambia zaidi
yaani nyie kiongozi yeyote anayeongea ukweli ni adui wa Rais sasa mbona kama vile tutakuwa ni Taifa la ndio mzee jambo ambalo sio sawa, kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni yake kadiri ya utashi wake, nami nakubaliana sana na prof na wala musimkashifu mzee wa wakati anajua alichozungumza
uvumilivu wa kisiasa ni wa muhimu sana vinginevyo mbona wanasiasa wengi wa upinzani wataumizwa sana, nadhani hili la sugu kama lilivyokuwa kwa Mh lema linapaswa kuwa fundisho kwa wakubwa
Ndugu zetu maaskofu wa DRC wao wameandamana kabisa kumpinga kabila kuhusu suala la uchaguzi, laiti maaskofu wote kabisa wangekuwa na uthubuti serikali lazima ingebadili mwenendo wake kwani hali za wananchi sio nzuri kabisa lakini tunaaminishwa hali ni nzuri.
hatari sana aisee, sasa hapa wanazuoni hawana fursa ya kukosoa mwenendo wa serikali, mbona amempa shavu kitila mkumbo wakati alikuwa mkosoa kubwa wa masula ya kisiasa ambayo mkuu wa kaya alikuwa anafanya.
bashite amewaokoa wakubwa wengi haya ngoja tuone huo ufanisi utatoka wapi, kumbe mtumishi wa umma ndo huyu that means wakuu wa wilaya na mikoa sio wakuu wa umma, hatari sana
kuna ukweli asilimia 80% hiyo 20% umeongeza mbwembwe. hapo kwenye madawati hapana labda uniambie arusha mjini ila kama unaijua ngorongoro vizur, monduli, karatu na longido huku kote janga la madawati na ishu ya maabara lilikuwepo sana tu,
angalau amejitahidi kupunguza hii kodi coz nayo ni jipu ila ajitahidi kuongeza mshahara wa kima cha chini na kile cha kati japo uendane na maisha halisi na pia kiwango cha taaluma ya mtu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.