Salamu! Napenda kufahamu mtoto hupewa jina siku ya ngapi mara baada ya kuzaliwa?
Je, ni siku ya kwanza, au siku yoyote?
Msaada wenu tafadhali katika hili.
Nitapata kupitia msamaria mwema ambaye ataamua kunisaidia akijua kuwa watu hatulingani vipato. Ni kama msaada tu, tujifunze kutoa msaada, hata Mimi niliwahi kuwa dalali katika mkoa mmoja wa kusini, kuna muda nilikuwa natoa tu msaada.
Kwa kariakoo ni maeneo gani naweza kupata Yale magodoro madogo ya wanafunzi? Nataka mawili alafu bajeti yangu haizidi elfu arobaini (40,000) kwa yote mawili. Msaada tafadhali nataka kuwanunulia madogo wakasake elimu.
Habari za leo wanajukwaa?. Natafuta chumba cha kupanga maeneo ya Buguruni, kuanzia Buguruni sheli, Rozana, Malapa, hadi Msaada Gereji. Bajeti yangu ni 30,000/= nyumba uwe na maji na umeme. Asanteni. (Msaada tu, sina hela ya kulipa dalali).
Hii ni Channel mpya nasikia inaanza rasmi April, wanahitaji watu wawatumie videos za matukio mbalimbali nao watazirusha bure kabisa. Haya sasa ngoja tuwasubiri tuone
Hazijaungua mkuu. Hazitoi alafu yoyote ya kuungua. Na nikizilamba hazina moto kabisa. Betri moja iliwahi kuwa na tatizo hilo, nikailamba na kuiweka chaji ikakubali kupeleka moto. Safari hii umegoma kabisa licha ya kufanya hivyo vyote
Nina simu yangu iligoma kuwaka ghafla kwahiyo nikaamua kubadili betri na kuweka zingine nione kama itawaka, lakini haikuwaka na cha ajabu hata hizi betri nazo zimegoma kupeleka chaji, na hazioneshi kama zina chaji.
Kipindi naziweka kwenye simu zilikuwa na chaji, nimejaribu kuwasha simu...
Wengine bado tunatumia modem kwa internet ya uhakika zaidi. Kuna muda smartphone inazingua, lakini ukiwa na modem unajihakikishia internet. Nakushauri jipatie sasa modem safi kabisa hii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.