Jamani awa tigo awafai kabisa kwani unaweza kua na shida upo sehem mbaya ukakopa mda wa maongezi basi utajuta utatumiwa meseji ongeza salio kwenye sm yako nawakati una ile ela ulio kopa mi nawauliza inamana ile ela ulio kopa sio salio au? wanatuibia sana awa.
Binafsi namshauli yule bibi akaimbe kwaya amuimbie muumba wake umri umekwenda ule ni wakati wa kumrudia mungu, ajue kua yuko kwenye finali saizi, Eti nasikia yuko kwenye kikundi cha wanaume ataweza mapanga ya wanaume???????
Wanaweza wakandika abali nyingine tu na sio za k ata ivyo wajue ata ao wanao wauzia wataacha kununua magazeti yao kwani awapendi izo abali, zinawatia uchungu.
Jamani magazeti ya udaku tumeshoka kuandika abali za kanumba sio ishu na ii ya leo yakusema kaonekana tabata mmezidi mwasheni watu bado wana majonzi alafu nyie mna andika uongo uo mjue kua watu wana umia sana acheni apumzike kwa amani.kwanzia sasa fungeni kabisa kuandika kuusu marehem yaani nyie...
Kusema ukweli mi naona aya magazeti ya udaku yamezidi kuandika abali ya marehemu kanumba inatosha wakumbuke kuwa watu wengi wameumia sana na uu msiba kwaiyo kwa kuendelea kuandika abali ina wauzu nisha watu sana. Waachane na watu wanao taka kutoka kwa kupitia marehem kwani watu watasema mengi...
Kuna ulazima wa kuuliza kwenye izi kampuni usika manake watu wanashiliki lakini wanaishia kukatwa ela za sms tu ila kushinda kiukweli ni ndoto, wanashinda tu watu wa matangazo wakina kibera feki.
Uyo mzee si ndio yule alie shinda zile milion mia za voda com? kwa kuanzia apo amezifanyia nini zile pesa kama kweli aya ongeayo ana weza kuya timiza akipata nafasi.
Peleka araka mkuu isije ikafika tena ded line ikakuta bado manake wa bongo kwa zima moto,utaona watu awatapeleka ikifika bado siku moja tena utakuta watu kibao ndio wana kimbizana foleni kibao!!!!!
Da nashindwa kuelewa na uyo nabii frola mbona simwelewi manake jinsi alivyo jichuna!!!!!!!!!!aya siku za mwisho kutakua na manabii wa uongo ngoja tuone.
Na je yangekua mazuri yatangazwe? au kwa sababu ni matokeo mabaya watanzania tufikie mahali tukubali ukweli,kuficha ficha vitu vingine ndio vinaleta mauchakachuaji.
Jamani tumuombee uyu mtanzania mwenzetu kwani iyo sumu nasikia inaua taratibu,nimesikia watu wakisema mwakyembe saizi nikama mfa maji tu ambae aachi kutapatapa na izo juudi zake zakurudi india kwa matibabu ni bure, kwaiyo tumuombee jamani kwani akuna lisilo wezekana kwa mungu.
Ivi watu wanao tafuta wachumba apa jf wanafanikiwa, na wanawapata wa dizaini ileile waliokua wanaitaji,au inakuaje kwawalio fanikiwa mpaka wakafunga ndoa ebu tujuzeni.
Lakini kwa nini uyo manumba atoe riport wakati mwakyembe mwenyewe yupo, tunakusubili jembe letu uje useme ukweli wa mambo, wasitake viherehere ulikuficha ukweli!!!
Dada ayo ni mawazo mabaya ayafai ata kidogo kwani kupata leo wewe isiwe shida kwa mwenzio uwezi kujua mpango wa mungu kukufanikisha ukiwa na uyo bwana saiingine ni sara zake pia zimewezesha ufanikiwe, Think twise before doing that.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.