Kama MAPADRI wanasomeshwa miaka kadhaa na bado WANALAWITI, MASHOGA NA BAADHI WASHAOLEWA NA VIDUME WENZAO..... elimu gan wapewe hawa viongoz wa dini zetu....
mi naona this is Personal matter not Religional matter
Nenden kwa mantiki.... VIP ULE MSTARI UNAOSEMA, "......waleten hapa na wachinjwe mbele yangu...."
Analieni mambo kwa macho mawili.. MNAJUA TATIZO NI NINI????????
USTAADH Mohamed Kurangwa (36),
aliyemuua mwanafunzi wa Shule ya
Msingi Nzasa Jamal Salum (12) kisha
naye kuuawa, ametajwa kuwa
alikuwa ana matatizo ya akili.
Kurangwa alimuua Jamal
mwanafunzi wa darasa la tano juzi
jioni nyumbani kwake Mbagala
Charambe Mianzini, kwa kumchinja
na...
MATATIZO YA AKILI
Mdogo wa muuaji Daudi Kurangwa
alisema kati ya mwaka 1996-1997
marehemu kaka yake alishawahi
kuugua ugonjwa wa akili na kutibiwa
Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.
Alieleza kuwa baada ya kuruhusiwa
kutoka hospitali alikuwa akiendelea
kutumia dawa kwa kipindi lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.