Ni kweli jamani Mtwara pakulala ni issue hata hizo Hotel za Nyota 0 muda wote zimejaa, jana tuu Mtwara kulikuwa hakuna Nafasi hadi kwenye Hotel za vichochoroni hapa Ofisini tunawageni wanalala Lindi asubuhi wanakuja Mtwara.
Hebu geuza iwe mkeo katembea na kaka yako uone inavyochonyota tatizo lenu mnafikiri sis Wanawake hatuna roho km nyie, kusamehe ili iweje kwanza tayari ameshakuharibia undugu na mdogo wako, uvumilivu siyo karne hii ya ARV , presha, visukari + Cancer bila kusahau BP, hapo ni kuchapa mwendo.
Kwa kweli wanaboa, na delay kwao ni kitu cha kawaida, kwa mnaoenda abroad halafu mnakaa nje ya Dar es salaam tafadhali usithubutu kuunganisha yaani unatoka Mtwara siku hiyohiyo unaenda nje ya bongo utaambiwa flihgt itachelewa kwa saa moja, baada ya muda wansema itadelay kwa masaa mawili mwisho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.