Huu ni ujinga no kujiabisha tu kama nchi!! Nani alitoa majina ya Kwa Remmy,Kwa Ali Maua ,kwa Kopa au kwa Komba? Tutaendelea kuita mtaa wa Wanyama hata kama hataki
Sahihi kabisa: Ukawa hakushiriki kuifikisha hapa ilipo. Hawana control na utangazaji wa mshindi halafu watapoteza Nguvu na resources kibao kwa ajiri ya uchaguzi mkuu
Kitila sio mwadilifu ,ofisi ya umma inajengwa katika uadilifu kwanini kamdanganya mwajiri kuwa hajiusishi na Siasa za uongozi wa vyama? Hata kama Kitila na Zito wataanzisha chama leo, kama wataendelea na tabia zao wakiwa chadema, watapigwa na wafuasi wao. Inawezekana vipi ukawa una lengo la...
Kitila sio mwadilifu ,ofisi ya umma inajengwa katika uadilifu kwanini kamdanganya mwajiri kuwa hajiusishi na Siasa za uongozi wa vyama? Hata kama Kitila na Zito wataanzisha chama leo, kama wataendelea na tabia zao wakiwa chadema, watapigwa na wafuasi wao. Inawezekana vipi ukawa una lengo la...
Kumekuwepo na shinikizo la kumuondoa Mzigo Pinda u PM. Hakika ningependa aondoke, lakini nilifikiria gharama za kumhudumia yeye na ajaye mpaka waondoke duniani . Naona bora amalize tu. kama Lowasa hakupaswa kupata benefit zozote, lakini bado anatubebesha nzigo wavuja jasho . Tuhakikishe kwanza...
I hope they will find real culprit this time! They killed, never on earth this stupidity should be tolerated. Ndugu Kova kamata wenyewe sio sinema tena wakanyongwe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.